fredmlay
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,849
- 388
Mimi nafikiri swala la ajira kwa viongozi wetu kama mawaziri, majaji, makatibu wa kuu na wengineo liwekewe utaratibu kwa kuwalipa mishahara na posho ya malazi kisha wao watajijua na liwekwe kikatiba ili viwango vya posho visije kuwa janga tena la kitaifa