Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

Kwakweli rasmmi nahama Voda,

Shame on them,

Airtel twaja huko wazalendo wa kweli,mtandao wa watanzania.

Voda wanamksanyia mtu hela y kupigia kampeni uraisi this year.


Hata ofisini nawaambia all mates wabadili laini zao
 
Wapumbavu nimewapigia customer care wanamumunya Maneno wananambia subiri Halafu wanakata mazima nimewapigia ka mara 10 hivi shenzi type zao
 
Hapa kuna uhusiano na bei ya mafuta nafikiri. Kwa upande wa telecom nafikiri ni vice versa!
 
Halaf utamsikia makamba akiota kuwa raisi na uwajibikaji wake ni ziro
 
Tatizo wa-Tz tutalalamika humu kwenye mitandao ya kijamii, basi! TCRA wao wanapata share yao! Manina kweli hii serikali.
 
Mimi nipo na Vodacom bila kikomo kwa buku tu ...haki akweli kifurush hicho kimenifanya nidownload hadi movie kumi per day kwenye cmu na kuhamishia kwenye PC..hapa nazungumzia movies zenye 600mb- 1.9gb..!! napata raha..download speed napata hadi 1.7mb..

mkuu movie 10 kwa 24 hrs kwa hiyo bundle si Kweli
 
Tuliza mpira kwanza. Haya makampuni huwa hayakurupuki moja moja, huwa wanaingia makubaliano ya kupandisha kwa pamoja mara nyingi. Hama baada ya wiki, kesho mapema mno, maana nafikiri airtel wataunga tela si muda mrefu.

Airtel nao wako mbioni kupunguza mb.
 
Vifushi vya masaa 24 voda kwenda voda
Tsh 150=10 sms
Tsh 500= dk 15+250sms+8mb
Tsh 650= dk 30+300sms+8mb
Tsh 1000= dk 50+300sms+8mb
vodacom kwenda mitandao mingine
Tsh 150= sms 10
Tsh 499= dk 7+300sms+8mb
Tsh 649= dk13 +450sms+8mb
Tsh 999= dk 20+1000sms+8mb
vifurushi vya wiki voda kwenda voda
Tsh 1050= sms 70
Tsh 2000= dk 60+150sms+60mb
Tsh 2800= dk 85+700sms+60mb
Tsh 4000= dk 140+1750 sms+60mb
Tsh 7000= dk 250+2100sms+60mb
Tsh 10000= dk 360+2500sms+60mb
vodacom mitandao yote kwa wiki
Tsh 1050= sms 70
Tsh 1999= dk 29+500sms+6omb
Tsh 3999= dk 49+500sms+60mb
Tsh 4999= dk 91+1000sms+60mb
Tsh 9999= dk 190+1000sms+60mb
WEWE UNAEJIITA MARKETING MANAGER......HUU
SIO UBUNIFU ILA NI UMBUMBUMBU
YOUR FIRED!!!!.......... 👹 📌 🔧
MB 8 ............NAZIPELEKA WAPIIIIIIIII HATA
MUKTASARI WA GAZETI LA MWANASPORT SIPATI......sambaza had ifke voda
 
Vocha ya kifurushi ya Airtel ya 1000/=
Dakika za maongezi mitandao yote ni 30
Sms 1000
MB 300
Kwa siku 2
AIRTEL YATOSHA!!!!!!!!!!!!!!!!!
tuhame wote kwenda airtell. tusikubali unyonyaji huu wa mabepari wa simu wakiongozwa na yule jambazi rowtam azizieli.
 
Terms and conditions apply. Si ulikubali, ukitaka kumficha Mbongo kitu basi kiweke kwenye maandishi.

Kweli walinificha kitu mie Mbongo, na sikuwajua vema,ila na wao wamesahau kidole kimoja haktendi jambo nami hapahapa jf nshapata vidole kadhaa najiaandaa kuwavunja michawa then nasepa mazima,cha mtu mavi hakiliwi bure, nishnde kutwa naokota chupa wao wabugie tu?.
 
Duh!
Natumai airtel hawatabadilisha nao vifurushi vyao ndani ya siku kadhaa maana huu uzi wa nne tofauti nauona ndani ya muda si mrefu kuhusiana na voda.
Usiende tigo, nako majanga!
 
VODA MMESHINDWA KAZI
Vifushi vya masaa 24 voda kwenda voda
Tsh 150=10 sms
Tsh 500= dk 15+250sms+8mb
Tsh 650= dk 30+300sms+8mb
Tsh 1000= dk 50+300sms+8mb
vodacom kwenda mitandao mingine
Tsh 150= sms 10
Tsh 499= dk 7+300sms+8mb
Tsh 649= dk13 +450sms+8mb
Tsh 999= dk 20+1000sms+8mb
vifurushi vya wiki voda kwenda voda
Tsh 1050= sms 70
Tsh 2000= dk 60+150sms+60mb
Tsh 2800= dk 85+700sms+60mb
Tsh 4000= dk 140+1750 sms+60mb
Tsh 7000= dk 250+2100sms+60mb
Tsh 10000= dk 360+2500sms+60mb
vodacom mitandao yote kwa wiki
Tsh 1050= sms 70
Tsh 1999= dk 29+500sms+6omb
Tsh 3999= dk 49+500sms+60mb
Tsh 4999= dk 91+1000sms+60mb
Tsh 9999= dk 190+1000sms+60mb
 
Back
Top Bottom