Limbu: Jaji Mutungi 'amenunuliwa' na Zitto

Limbu: Jaji Mutungi 'amenunuliwa' na Zitto

Jambo ingine ambalo baya kuliko yote ni kupora mke wa mtu tena wakati ukiwa padre uliwafungisha ndoa kanisani.

Ulikuwa ukiletewa kesi usuluhishe ili wanandoa wendelee kubaki mwili mmoja ukatuma udhaifu wa mwanamke kumpora kutoka kwa mumewe

Mbaya zaidi ukatangaza kufunga ndoa ukazuiwa mahakamani kwa aibu mpaka leo unamwita mchumba. Uzee wa miaka 70 na uchumba wapi na wapi


Wewe uliambiwa uchumba mwisho miaka mingapi?

Upadre aliacha na sasa yupo huru!

Wewe una hakika gani kama baba uliyenaye hajabambikiziwa mimba na mama yako,ambapo kihalisi ilikuwa ya mzee mmoja mlinzi wenu,ana miaka 82!

Tumia akili !
 
Limbu rudi Magu ukalime pamba,mwenzako dola iko nyuma yake.Zito Mambo aliyoyafanya kwa uficho 2010 sasa hivi ni dhahiri anayafanya waziwazi na mnaomfata mtaumbuka siku moja.Mungu hamfichi mnafiki.
 
Kawaida yake,,,,,,,

Alianza kumpora Marehemu Mpakanjia mke wake....... (mungu amweke pema peponi).
Mnaku;buka Familia iliparaganyika.... Inasemekana wote walikufa kwa Presha baada ya wapenzi hawa waliopendana kwa dhati.... Hiki kidudud mtu akawaingilia..
Baba yake Chifupi, alipewa jukumu la kusuluhisha lakini wapi!

Back to the History!

Mara Jackline, mara Mwasiti....

Zitto ni Mzinifu mkubwaaaaaaa...!!
 
Back
Top Bottom