Kwa aliyepigiwa simu na Advans Bank msaada please

Kwa aliyepigiwa simu na Advans Bank msaada please

saadmad

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2011
Posts
729
Reaction score
653
Advans bank ilitangaza nafasi za Junior Community Development officer.

Leo nimepigiwa kuitwa kwa usahili kesho kwa bahati mbaya nipo unguja shamba mtandao wa tigo unasumbua na sijaelewa eneo ila nilijaribu kupiga simu baadae nika ulizwa jina na nikaambiwa ujumbe atafikishiwa muhusika, kama kuna aliye itwa pia naomba maelezo.

Natanguliza shukran.
 
Hongera mkuu,maana cku hzi kuitwa tu kwenye interview ni bahati tosha,atleast na wewe cv yako kuna watu wameipitia na kuikubali.
 
Nili google nikaona ipo dar es salaam ila wapi interview inafanyika ndio kizungu zungu
 
Mimi niliapply mkuu ila sijapigiwa simu labda jaribu tena kupiga hiyo no.
 
Ahsante kaka naona itakua ngumu tena kuwa tafuta sababu nipo unguja na hata kwa boat ya asubuhi sita wahi tena
 
Mie nimepigiwa cm leo kwamba nifike advansbank kariakoo ila mie niliomba intership na maelezo ya dada alopga cm kanambia niende na kitambulisho kesho saa nne asubuhi
 
Mie nimepigiwa cm leo kwamba nifike advansbank kariakoo ila mie niliomba intership na maelezo ya dada alopga cm kanambia niende na kitambulisho

Hata mie pia intenship mkuu
 
Mi nime aplay ya urais ila bado hawajanijibu
 
Mie nimepigiwa cm leo kwamba nifike advansbank kariakoo ila mie niliomba intership na maelezo ya dada alopga cm kanambia niende na kitambulisho kesho saa nne asubuhi

wao wanazani kila mtu yuko dar.
 
c ndo apo mie niko kanda ya ziwa cjui iweje badala ata watupe cku tatu et kesho duh iyo kali,GOOD LUCK WATAKAO FIKA
 
Mie nimepigiwa cm leo kwamba nifike advansbank kariakoo ila mie niliomba intership na maelezo ya dada alopga cm kanambia niende na kitambulisho kesho saa nne asubuhi
duh hawajakuambia kuwa ni paper au
duh
 
Back
Top Bottom