Recent content by vicent moshi

  1. vicent moshi

    Tatizo la kwenye simu yangu ya Samsung

    Wadau, mimi nina simu yangu aina ya Samsung Gallaxy A30S. Matatizo langu siwezi ku access auto call recorde. Yaani siwezi kurekodi. Naomba msaada
  2. vicent moshi

    Mashekhe wa Uamsho: Siku zaidi ya 1,460 wapo rumande

    Kama uuslam ukiachwa kustawi kwa minajili ya kueneza chuki hizo itakuwa majanga bira wadhibitiwe vikali kabisaaaa....
  3. vicent moshi

    Mbowe achunguzwe kwa vifo vya Daniel John na Aquilina

    Hahahaa...haya bhana niliambiwa kuna wapumbavu na waropokaji humu nikabisha sasa nimejionea
  4. vicent moshi

    Namna ya kuwa mwanaume usiyekera wanaume wenzako

    Nimekubali mkuu umenipa mitonyo.....
  5. vicent moshi

    Wanasheria wasomi.. Kwanini kesi ya Mashehe wa Uamsho wa Zanzibar hata kwenye vyombo vya habari huwezi kuisikia?

    Huu muungano ulipatikana kwa manufaa ya wote wapuuzi wachache leo wanataka ku uharibu kwa kisingizio cha udini? Piga pingu sana wapuuzi waliochoka uhuru wao tena wafungwe miaka buku
  6. vicent moshi

    Hatuna ugomvi ila kaniambia nisimtafute hadi atakapo nitafutayeye

    Pole mkuuu mimi ilinitokeaga nikamwsmbia nami usinitafutege tukaachana ka miaka miwili kumbe alipataga kibopaTRA alipopigwa chini mi nshakuwa na mtu xo hadi ss nina wife material yeye kazalishwa yupo anazulula akiniona analiaga hadi basi siwezi kumsaidia tena........wazuri wa kuoa wapo huyo...
  7. vicent moshi

    Yako wapi makovu ya risasi miguuni mwa Lissu?

    Mmmmh sipendagi kutukana ila kwa hili ntajaribu......
  8. vicent moshi

    Natafuta kazi yoyote ya kibarua, kazi ya jikoni au hata kusaidia fundi ujenzi

    Natafuta msichana wa kazi za nyumbani yaan msaidizi sifa awe mstaarabu na ajue kulea watoyo vizuri mshahara 50000 kwa mwezi kila kitu mahitaji juu yangu niko mwanga klm
  9. vicent moshi

    Kwa mwanaume alie na nia ya dhati

    Tupia picha in bobo
  10. vicent moshi

    Rais Magufuli asema ana taarifa kuna kiasi cha dola bilioni moja zimekamatwa uwanja wa ndege Dsm!

    Naona kunahitajika uelewa zaidi kuhusu fedha.....najiuliza ikiwa kuna njia nyingine ya kusafirisha hela kwanini zije mwa ndege? Na je, lengoake ni zuri kama tunavofikiria? Je, ikiwa ni kufanyia ubaya nchi yetu tutajuaje? Si kuna makundi ya wahuni wengi siku hizi? Je kama ni za ki uhaini...
  11. vicent moshi

    Nimerudi kazini sijamkuta mke wangu, nauliza majirani naambiwa ameondoka kwenda kwao

    Mkuuu pole ila ukiona hivi huyo co chaguo la Mungu.....angekuua bora kaondoka yeye...
  12. vicent moshi

    Dkt Shika kuandaliwa tamasha la ‘Usiku wa 900 itapendeza’

    Kuweni na busara kwani cha ajabu ni gani kuhusu Dr. Shika? Na nyie kweni maarufu ka yeye mpate m manager....hahhahahaaaa kaula mjombaaa...
  13. vicent moshi

    Mambo 10 usiyoyajua kuhusu mnyama Simba

    Uongo mkuu kwanza simba anafanana na mbwa na sio paka....
Back
Top Bottom