BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,314
Kila la heri
Ha ha wewe muislamu elewa kasema Mkristo aiseeUmepata karbu tuyajenge
nadhani hataki dizaini za uchebe.Kama umedhamiria kweli utapata maana status uliyoandika sijaona sehemu umeandika kiwango cha elimu hapo umenifurahisha lkn amabpo sijaelewa ni kwamba mwanaume asiwe tegemezi Kvp? Mm najua hakunaga mwanaume tegemezi hata kama hana kazi atazunguka kwenye mizunguko yake ya vibarua na kupata hela ya kula nyumbani.kwa ushauri ungeweka contact na unapopatikana
Waungwana munidaidie....wanasema usiulize umri wa mwanamke au mshahara wa mwanaume hutapata jibu sahihiHapo VIPI?
Kheeeee!!! Kumbe hivyo tena?!?!!!Huyu mbona mwanume,mimemstukia
Juzi ulituambia una mpnz ambaye unamshukuru Mungu ni sahihi na mnapendana sana wala hujutii couple yenu ila akaanza kubadilika! Ndio chanzo umeamua kusaka mpya??Morning!
Mimi ni mwanamke wa miaka 28, kama binadamu inawezekana nina mapungufu yangu lakini matukio niliyopitia kwenye mahusiano yamenifanya kuwa mnyonge na kukata sana tamaa ingawa sitamani kabisa maisha ya u single.
Sina uhakika kama huku naweza pata mwanaume atakae nielewa na kuthamini thamani ya upendo nitakaompa ila yote kwa Mungu yanawezekana
Nahitaji mwanaume alie na utayari wa kujenga familia na anae jua thamani ya mwanamke
Mimi ni mkristo ningependa pia mwenzangu awe mkristo
Sio tegemezi na sihitaji alie tegemezi
Umri kuanzia 29+
Sina mtoto na kama mwanaume atakua na mtoto asizidi mmoja
Asubuhi njema!
Hafu anatumia ID mbili tofaut katik maada hii,anajijibu mwenyewe n.k, ajira bado hazijatoka watu hawana kazKheeeee!!! Kumbe hivyo tena?!?!!!
Bora kujenga daraja kuliko kutaJuzi ulituambia una mpnz ambaye unamshukuru Mungu ni sahihi na mnapendana sana wala hujutii couple yenu ila akaanza kubadilika! Ndio chanzo umeamua kusaka mpya??
Dah...hawa watoto 13 nilionao wananikosesha bahati nyingi
Hataki mwanaume kama Baba DangoteKama umedhamiria kweli utapata maana status uliyoandika sijaona sehemu umeandika kiwango cha elimu hapo umenifurahisha lkn amabpo sijaelewa ni kwamba mwanaume asiwe tegemezi Kvp? Mm najua hakunaga mwanaume tegemezi hata kama hana kazi atazunguka kwenye mizunguko yake ya vibarua na kupata hela ya kula nyumbani.kwa ushauri ungeweka contact na unapopatikana
Ni kweli una haki ya kuandika chochote ila sio busara kuandika kitu usicho na uhakika nachoHafu anatumia ID mbili tofaut katik maada hii,anajijibu mwenyewe n.k, ajira bado hazijatoka watu hawana kaz
ASANTEHakika Tabia yako ya upole ,imethibitika ndani ya maandishi yako.
Umeandika kwa uchache ,,Kwabusara sanaaaa,, Na upekee ulonao nikwamba weee sio Mnyanyapaaji !!!.
Awe 29+ naasiwe tegemezi , akiwa na mtoto mmoja poa !!!!.......
Katika kupitia nyuzi ulowah ziandika nimegundua haya...
Unaupendo Wa dhati
Mshauri mzuri
Na kweli unaupwekee !!.
Nachukua nafasi hiii ,kukutangaza kua " Superstar who deserve to be a Wife material "".
ASANTEHakika Tabia yako ya upole ,imethibitika ndani ya maandishi yako.
Umeandika kwa uchache ,,Kwabusara sanaaaa,, Na upekee ulonao nikwamba weee sio Mnyanyapaaji !!!.
Awe 29+ naasiwe tegemezi , akiwa na mtoto mmoja poa !!!!.......
Katika kupitia nyuzi ulowah ziandika nimegundua haya...
Unaupendo Wa dhati
Mshauri mzuri
Na kweli unaupwekee !!.
Nachukua nafasi hiii ,kukutangaza kua " Superstar who deserve to be a Wife material "".
JF imeanzishwa 2006, wakati unasoma kama mgeni ulikuwa unasoma forum ipi?Wewe ndo mwanamke wa kwanza kutokupata majibu ya karaha toka kwetu wanaume,tangu nijiunge humu 2013 na kuwa msomaji mgeni kuanzia 2000,
hongera mchumba,mola akuongoze kwa kila la kheri,na akuondolee shari na fitna zote.