Recent content by vert boy

  1. vert boy

    JamiiForums Tanzania Mzee Ngowi na Bi Sikitu ni wapenzi walio pendana toka shuleni wakiwa watoto

    Mzee Ngowi na Bi Sikitu ni wapenzi walio pendana toka shuleni wakiwa watoto, mpaka wakaoana. Baada ya kustaafu waliamua kurudi kuishi eneo waliloushi zamani walipokuwa wadogo, na kusoma. Siku moja walikuwa wanasherehekea miaka 40 ya ndoa yao. Hivyo waliamua kutembelea shule yao waliposomea...
  2. vert boy

    JamiiForums Tanzania Unakumbuka uliahidiwa nini na kiongozi wako katika uchaguzi ulipita.

    yani kiufupi huyu mbunge wa jimbo la siha amalize tu mda wake aje apumzike nyumbani kwa sababu hakuna cha maana alichofanya tangu ajiunge na chama cha mafisadi(ccm) bora angebaki CHADEMA tu alituahidi barabara zitatengenezwa kwa kiwango cha lami lakini mpaka leo jua likiwaka ni vumbi tu...
  3. vert boy

    JamiiForums Tanzania Awamu ya Pili ya maandalizi ya kupokea umeme kutoka kwenye mitambo yakufua Umeme JNHPP kuingia Gridi ya Taifa Januari 13-21, 2023

    nyie bakini na huo umeme wenu kama tutaendelea kulipishwa laki mbili kununua nguzo bora tukae gizani tu
  4. vert boy

    JamiiForums Tanzania Physics ni somo gumu sana kuliko masomo yote hapa Tanzania

    [emoji28][emoji28][emoji16]
  5. vert boy

    JamiiForums Tanzania Physics ni somo gumu sana kuliko masomo yote hapa Tanzania

    kama yangekuwa marahisi kusingekuwa na Zero huko mashuleni
  6. vert boy

    JamiiForums Tanzania Inachukua muda gani kupata namba ya NIDA?

    Habari za wakati huu wana jamii. Hivi inachukua muda gani kupata namba ya NIDA baada ya kujiandikisha katika ofisi zao? Nakumbuka ilikuwa tarehe 9 October 2023 nilienda kujaza taarifa zangu katika ofisi za NIDA (wilaya ya Siha Kilimanjaro) nilikamilisha kila kitu hadi picha. Niliambiwa nirudi...
  7. vert boy

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    mmmh yaani huku unalipia kila kitu yaani ishakuwa kero rushwa ipo nje nje utadhani TAKUKURU hawapo
  8. vert boy

    JamiiForums Tanzania Maombi yanayojibiwa na mashetani

    hapa nimekuelewa Mkuu,[emoji2936][emoji2935] nenda hapo kwa mama n'tilie mwambie akupe soup na chapati 7 za moto nakuja kulipa
  9. vert boy

    JamiiForums Tanzania Maelezo ya kisayansi kumaliza utata wa mpira wa kona mechi ya Simba vs Singida

    Mimi kwa maoni yangu kusema ukweli mimi naona ukweli usemwe tu maana naona naweza nikaongea na katika hatua hii ndugu zangu nafikiri na naona kabisa kuwa kwa muda huu naona na natamani niongee kuhusu haya na nina mengi ya kusema moyoni lakini kuhusu hili acha nichangie hoja kwa kusema ni kweli...
  10. vert boy

    JamiiForums Tanzania Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) yatia aibu Côte d'Ivoire

    aliyekuloga apewe maua yake[emoji23][emoji23]
  11. vert boy

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Habari za muda huu wana Jamii, Kuna baadhi ya vitu sivielewi kuhusu hawa TANESCO 1) Mtu unapohitaji huduma ya umeme unatakiwa kununua nguzo? kwa sababu nikiangalia katika kijiji changu cha NAIBILI (Kilimanjaro wilaya ya Siha) mwananchi anatozwa shilingi 200000(laki mbili ) kununua nguzo , nje...
  12. vert boy

    JamiiForums Tanzania Mwaka 2024 natangaza rasmi vita kali na members wa wanafiki kwa Rais Samia

    mda utaongea
  13. vert boy

    JamiiForums Tanzania Alichopost Mel Gibson katika mtandao wake wa kijamii

    mmmmh kazi ipo asee cha msingi kila mtu aamini anachoona ni sawa
  14. vert boy

    JamiiForums Tanzania Baada ya kujaza fomu ya maombi ya namba ya NIDA unatakiwa ukae muda gani ili kupata namba yako?

    Habarini wana Jamii, Baada ya kujaza fomu ya maombi ya namba ya NIDA unatakiwa ukae mda gani ili kupata namba yako? Nina mwezi wa tatu tangu nijaze taarifa za kuomba namba ya NIDA lakini mpaka sahivi sijafanikiwa kuipata. Nikienda ofisi husika za NIDA naambiwa mtandao upo chini Tanzania nzima...
Back
Top Bottom