Mi mpk leo hii naifuatisha ati,bt mafindisho mengi yalikuwa ya kutishwa kama ukikalia kinu utaota majipu,ukilia kisu labda hata ndizi mbivu unaambiwa kitakata tumboni,wazamani tulilelewa vizur jaman tumekuja kujiharibu wenyew ukubwani
Tunaishi mara moja dia baada ya kifo hatujui kama kuna maisha mengine na kama kufa uje kufa kwa ahadi ya mungu sio kwa pressure za kusababishiwa na mtu,fanya maisha yako lea wanao ye abaki kama mzazi mwenzio bt kama roho bado inapenda rudi shosti,Ni ushauri tu jamani ifike mahali ujue unasimamia...
Pole bt shukuru mungu kakupa mtoto kuna wengine wapo baba na mama kikwazo kinakuwa hawana mtoto mungu Ni mwema unaweza kuona mtoto akawa faraja tosha katika maisha yako,jifunze kushukuru na kumwachia Mungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.