Habarini kwanza, naombeni ushauri kwa hili.
Nina watoto 2 nimeishi na mwenazngu kwa miaka 5 ila bado hatujafunga ndoa mwenzangu ameanza tabia za ajabu ambzo hapo kabla sikuwahi kuzijua kabisa kawa mlevi wananawake ndo usiseme nilipokuja kugundua nilipewa kipigo nikaamua kurudi kwetu maana hatujafunga ndoa chaajabu ndo kwanza alikuwa ananiambia we kaa uko uko me nitaishi peke angu mara me ntaoa mambo kibao ili ajue ntafanya nini ila mimi nikamjibu we fanya utakalo amua. ugomvi wetu ulikuwa mkubwa hadi kufikia kwa wazazi maana una mambo mengi imepita miezi kadhaa nilikuwa kimya tu saa ivi ananiambia anaomba yaaishe nirudi wakati alishanikabidhi kwa wazazi wangu kuwa hanihitaji tena nami nikaamua kufanya yangu na nijipange tena upya kimaisha, na kule kwa wazazi wanajua ameshanikataa ila yeye moyon anakiri bado ananihitaji. Niliacha kazi kwaajili yake maana tulikuwa tukaa mikoa tofauti ila saa iv nimerudi tena kazin ila yeye mpka sasa hajui kama ninafanya kazi nimfanyaje mtu huyu.
Habarini kwanza, naombeni ushauri kwa hili.
Nina watoto 2 nimeishi na mwenazngu kwa miaka 5 ila bado hatujafunga ndoa mwenzangu ameanza tabia za ajabu ambzo hapo kabla sikuwahi kuzijua kabisa kawa mlevi wananawake ndo usiseme nilipokuja kugundua nilipewa kipigo nikaamua kurudi kwetu maana hatujafunga ndoa chaajabu ndo kwanza alikuwa ananiambia we kaa uko uko me nitaishi peke angu mara me ntaoa mambo kibao ili ajue ntafanya nini ila mimi nikamjibu we fanya utakalo amua. ugomvi wetu ulikuwa mkubwa hadi kufikia kwa wazazi maana una mambo mengi imepita miezi kadhaa nilikuwa kimya tu saa ivi ananiambia anaomba yaaishe nirudi wakati alishanikabidhi kwa wazazi wangu kuwa hanihitaji tena nami nikaamua kufanya yangu na nijipange tena upya kimaisha, na kule kwa wazazi wanajua ameshanikataa ila yeye moyon anakiri bado ananihitaji. Niliacha kazi kwaajili yake maana tulikuwa tukaa mikoa tofauti ila saa iv nimerudi tena kazin ila yeye mpka sasa hajui kama ninafanya kazi nimfanyaje mtu huyu.
Habarini kwanza, naombeni ushauri kwa hili.
Nina watoto 2 nimeishi na mwenazngu kwa miaka 5 ila bado hatujafunga ndoa mwenzangu ameanza tabia za ajabu ambzo hapo kabla sikuwahi kuzijua kabisa kawa mlevi wananawake ndo usiseme nilipokuja kugundua nilipewa kipigo nikaamua kurudi kwetu maana hatujafunga ndoa chaajabu ndo kwanza alikuwa ananiambia we kaa uko uko me nitaishi peke angu mara me ntaoa mambo kibao ili ajue ntafanya nini ila mimi nikamjibu we fanya utakalo amua. ugomvi wetu ulikuwa mkubwa hadi kufikia kwa wazazi maana una mambo mengi imepita miezi kadhaa nilikuwa kimya tu saa ivi ananiambia anaomba yaaishe nirudi wakati alishanikabidhi kwa wazazi wangu kuwa hanihitaji tena nami nikaamua kufanya yangu na nijipange tena upya kimaisha, na kule kwa wazazi wanajua ameshanikataa ila yeye moyon anakiri bado ananihitaji. Niliacha kazi kwaajili yake maana tulikuwa tukaa mikoa tofauti ila saa iv nimerudi tena kazin ila yeye mpka sasa hajui kama ninafanya kazi nimfanyaje mtu huyu.
hivi mtu unawezaje kuacha kazi sababu ya mtu??
Habarini kwanza, naombeni ushauri kwa hili.
Niliacha kazi kwaajili yake maana tulikuwa tukaa mikoa tofauti ila sasa hivi nimerudi tena kazini ila yeye mpaka sasa hajui kama ninafanya kazi nimfanyaje mtu huyu.