lee van cliff,
MUNGU yupo jaman kwa yaliyonitokea hakika alisimama mwenyewe
mtu anakupa tuhuma za uongo na zaidi ni za jinai kubwa ila anasuka maneno na ushahidi wa uwongo hatari sana.. sitakaa nimuamini tena kiumbe kinachoitwa mwanaadam .
yaani yalivyonikuta ndio nilielewa kwanini misholi...
ongeeni yote ila kuangusha babalao USA si rahisi hivyo kwa sasa wameshindwa kumlinda kamanda wao leo wakapigane na usa hiyo ni ndoto wakishtuka asubuh teyar....
5997,
ndugu yngu taasisi zote za usalama serikalini haziwezi kufanana ingawa zinafanya majukumu yanayolingana au kukaribiana kufanana hata kwenye familia kuna watoto pedwa na wale ambao wapo tu ndo maisha hayo..
kwenye ule mradi kuna ujanja janja sana hivi karibuni nilitembelea pale kutafuta kikazi kama fundi bomba isee nilichokiona na maelezo niliyopata pale nilichoka kwanza kazi unauziwa na foremen pesa hadi kuipata ni taabu balaa .... kifupi pale ni wanapiga tu wanaopigwa ni wa chini..
bongo bhana...
siasa mbaya sana siku hizi kuanzia graduate hadi kazi za chini ni machinga barabarani na bado kuanzia leo graduate wengine wanaingia mtaani tena nakuhakikishia baada ya miaka kumi vijana wengi watakuwa wamechanganyikiwa na maisha si ajabu hii nchi itakuja kupitia mapinduzi makubwa sana ya siasa...
km mazingira yk yana nyoka sana dawa yao ni ndogo sana mwagia oil chafu kuzunguka hilo eneo au km ni ndani ya nyumba mwaga mafuta ya taa kwenye kingo za kuta km ni majumba mabovu choma mpira hapo nyoka atakuomba msamaha bila kupenda.. pia siafu na sisimizi ni adui za nyoka hawapatani hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.