5997
JF-Expert Member
- Jan 19, 2019
- 514
- 1,204
Aisee,
Jeshi la Magereza limekua kama vile limesahaulika sijui ni kwa sababu zipi,
Askari Magereza huku mtaani wamechokachoka hadi huruma, hali ngumu uniform zenyewe baadhi wanavaa sare zimeisha zimechakaa
Mpaka makampuni binafsi ya ulinzi wanavaa sare nzuri lakini hawa wenzetu unakuta askari kavaa sare imepauka hadi kero,
Mbona majeshi mengine mnayajali sana?
Angalia JWTZ askari wake wanamelemeta na sare zao za mabakamabaka zinavutia
POLISI askari wake wanameremeta na sare zao za kaki zinavutia,
Lakini magereza kwanza sare zao hazivutii kabisa, sare gani zinafanana udongo? halafu zikipauka sasa ndo hazitamaniki kabisa,
Juzi nilikua sehemu nikawaonsa na maafisa wa jeshi la magereza wapo kama kumi na kitu wote wana nyota, yaaani hawavutii kabisa
Si wakiume wala wakike hawavutii
Sasa serikali fanyeni hima angalau muwabadilishie hizi sare hata muwape rangi nzuri
Huu ni uonevu yaani ukiwaona unaweza kutoa machozi
Jeshi la Magereza limekua kama vile limesahaulika sijui ni kwa sababu zipi,
Askari Magereza huku mtaani wamechokachoka hadi huruma, hali ngumu uniform zenyewe baadhi wanavaa sare zimeisha zimechakaa
Mpaka makampuni binafsi ya ulinzi wanavaa sare nzuri lakini hawa wenzetu unakuta askari kavaa sare imepauka hadi kero,
Mbona majeshi mengine mnayajali sana?
Angalia JWTZ askari wake wanamelemeta na sare zao za mabakamabaka zinavutia
POLISI askari wake wanameremeta na sare zao za kaki zinavutia,
Lakini magereza kwanza sare zao hazivutii kabisa, sare gani zinafanana udongo? halafu zikipauka sasa ndo hazitamaniki kabisa,
Juzi nilikua sehemu nikawaonsa na maafisa wa jeshi la magereza wapo kama kumi na kitu wote wana nyota, yaaani hawavutii kabisa
Si wakiume wala wakike hawavutii
Sasa serikali fanyeni hima angalau muwabadilishie hizi sare hata muwape rangi nzuri
Huu ni uonevu yaani ukiwaona unaweza kutoa machozi