Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 7,811
- 10,819
Mimi ni kijana wa Kitanzania nimezaliwa miaka ya 1990's.
Nimekulia maisha ya kawaida sana. Nyumbani tumeanza kumiliki TV miaka ya 2003 mwishoni. Habari ya vita halisi siijui zaidi ya kuangalia vita kwenye TV muvi ya Rambo, Warbus, Eastern condors na muvi za kivita za Frank Zagarino.
Mauaji ya kimbari Rwanda sijayaona mana nilikuwa mdogo na sikuelewa kitu zaidi ya kuangalia kwenye muvi tu
Marekani alipomvamia Iraq, tulikuwa hatuna TV kwa hiyo sikuona kitu.
Babu alikuwa askari lakini hakuniadithia show ilivyokuwa kwenye vita ya Kagera. Lakini naimani kuna watu humu mmeshuhudia na kuhadithiwa na ndugu zenu vita mbalimbali vilivyoikumba nchi yetu na dunia kwa ujumla.
Kuna watu wanashabikia vita hii ya tatu ipigwe bila kufikiri madhara yake, nchi yetu ni dependant country hao wanao pigana.
Wazoefu wa mambo ya vita tupeni hali inavyokuwa katika mapambano.
Ili sisi wazaliwa wa 1990's tujifunze kitu na tuache kushabikia vita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekulia maisha ya kawaida sana. Nyumbani tumeanza kumiliki TV miaka ya 2003 mwishoni. Habari ya vita halisi siijui zaidi ya kuangalia vita kwenye TV muvi ya Rambo, Warbus, Eastern condors na muvi za kivita za Frank Zagarino.
Mauaji ya kimbari Rwanda sijayaona mana nilikuwa mdogo na sikuelewa kitu zaidi ya kuangalia kwenye muvi tu
Marekani alipomvamia Iraq, tulikuwa hatuna TV kwa hiyo sikuona kitu.
Babu alikuwa askari lakini hakuniadithia show ilivyokuwa kwenye vita ya Kagera. Lakini naimani kuna watu humu mmeshuhudia na kuhadithiwa na ndugu zenu vita mbalimbali vilivyoikumba nchi yetu na dunia kwa ujumla.
Kuna watu wanashabikia vita hii ya tatu ipigwe bila kufikiri madhara yake, nchi yetu ni dependant country hao wanao pigana.
Wazoefu wa mambo ya vita tupeni hali inavyokuwa katika mapambano.
Ili sisi wazaliwa wa 1990's tujifunze kitu na tuache kushabikia vita.
Sent using Jamii Forums mobile app