Kazi ipo...hiyo sigara tu imeandikwa ni hatari kwa afya yako sasa Bangi si wataandika kifo ni haki yako,
Mkuu bangi ni mbaya...hao uliowasema inawezekana wanavutia chooni
Ongea nae kama mwanzo ulivyoOngea nae wakati wa kumtongoza...lakini kulazimisha moyo upende hiyo ni mbaya.
Mtafute wakati akiwa na Furaha mueleze na mpe na sababu za kulazimisha penzi awe huru,
Ni rahisi kumpata mwanamke kama tu unapojieleza unampa uhuru wa kukuuliza,wanawake wengi wanampima mwanaume kwa kuongea kwake ile siku ya kwanza,baada ya hapo kitandani....hizo mbwembwe za kazi nzuri,pesa baadae sana kwani hamjaona mwanamke yuko na mumewe mambo safi lkn anachapwa na kuli wa pale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.