Kuna dem chuon alikua anamponda mchiz kwa tabia zake za bange n.k na kutaka kua na mie kwa sababu ya kukubalika kwa kipaj flan iv pale chuoni.. japo nilikaa kidizain coz nilikua na njaa kwa kipind iko coz nilishapigwa kanzu na mafundi bt nilimfikilia sana kwa maamuz yake nami nikajiweka atention...
Ndugu yangu angekua hata na elfu 50 nisingwshangaa... choka mbaya na jamaa ndo kampangia watoto wake chumba chao na yeye na huyo mama chumba chao.. na mtoto wa kwanza na wa pili wa Huyo mama jamaa anaweza oa kabisa
Mfano kuna rafiki angu nimekua nae na kwa sasa anajishughulisha na biashara hapa Dar, ki umri ni miaka 28 ivi ila mpaka sasa sijamwelewa maamuz yake maaana anaishi na mwanamke aliyemzidi ki umri na anawatoto wa5 ivi ambao co wa mshikaji
Kwa mfano nilikua naishi na mwanamke Wangu tukajaliwa kupata mtoto.. ghafla unakuja kubadilika una cheat nje mi nakuja kujua unafikili utaniambia nini nikuelewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.