Nilitumia hiyo kitu nikiwa college hatar tupu...
Nilipopuliza tu..niliona kama majani ya mihogo yanaingia jichoni...jani la mihogo lilikuwa kubwaaaa...kila nikiliangalia kama linakuja jichoni...nikalala hapo hapo hadi asubuhi..
Hatar tupu...
Kwa mwenye ujuzi au uzoefu au utaalam..anisaidie..
Nimefunga solar panel W150 na W 100
Kwa ajir ya matumiz ya nyumbani kama kuwasha taa..za nje getin n.k
Je ni CELL(battery) gan nzuri naweza kufunga na yenye nguvu gani ?ukilinganisha na nguvu ya panel??
Kwa gere za watu hawa..kwenye thread zao..Tz tutaendelea kuwa nchi ya V-WANDER.
kila kona ushilawadu umejaa..
Fanyeni yenu.achaneni na maisha ya watu..
Chini ya jua hakuna aloyekamilifu hata mmoja.
Fanya vyako achana na maisha yatu..wivu hauna manfaa..wenzenu wanapasua anga..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.