Ukitaka kupata chai Tamu
Bandika sufuria yako jikon ..weka maji.
* kama unapenda viungo weka ..viungo vichanganyike vizuri na maji ....wacha yachemke***
yakishachemka ipasavyo....tia majani ya chai...yachemke kdg tu usiyakawize
** MAJANI YA CHAI YAKICHEMKA SANA CHAI HUWA CHUNGU***...
Yote ni sawa ila kuna tofauti kwenye matumizi
saini hutumiwa kama verb/tendo mara nyingi
Bwana juma amesaini mkataba wa mika miwili
na sahihi hutumika kwa kiswahili fasaha na hutumiwa kama noun
hii ni sahihi ya bwana Juma
*** sahihi pia hutumika kuonesha mtu ypo sawia na asemacho***
Bwana...
Bado sijapata eneo mkuu...ila nashawishika kwa bei ya viwanja huko japo hakuna umeme ...ndo naogopa kutia mguu kumbe mashamba ya watu haya...au kesho tunaambiwa barabara inapita hapa....ndo hofu yangu..
Habari zenu ndugu....bila kupoteza mda naomba mwenye master plan ya jiji atuwekee ...nna mpango wa kwenda kujificha Nzasa ( Chanika)...
sasa haya mambo ya Bomoabomoa yasije kunikuta...
Natanguliza Shukran!!!
sasa wee tulikwambiaje humuuu...pole kwakweli...ndani ya miezi miwili hii kakudunyua mara tatu dah......poleee...ila kidonda chako kitapona tuu...thamani yako ipo kwa atayekupenda....sikuzote watu wapole ni nomaa kaa mbali nao kabysaa....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.