Usiempendakaja
Member
- May 19, 2017
- 48
- 36
Habari zenu ndugu....bila kupoteza mda naomba mwenye master plan ya jiji atuwekee ...nna mpango wa kwenda kujificha Nzasa ( Chanika)...
sasa haya mambo ya Bomoabomoa yasije kunikuta...
Natanguliza Shukran!!!
sasa haya mambo ya Bomoabomoa yasije kunikuta...
Natanguliza Shukran!!!