Recent content by ushuhudaaa

  1. U

    Bible's verses contradictions

    Mtoa maada unatumia akili za kutafutia credit hutaweza kuielewa biblia takatifu kamwe kwa akili hizi
  2. U

    Kuiper Belt: Behind the certain

    Asante kwa Uzi hawa viumbe wanaeasiliana na binadamu kwa Njia IPI na kwa lugha IPI?
  3. U

    Ni nini sababu ya vifo vingi wakati wa kuhiji?

    Huwanajiulizaa saaana hilo swali?
  4. U

    Kairuki: Walimu wa sanaa hawataajiriwa

    Hakuna haja yakusoma
  5. U

    Huyu ndiye tapeli wa mtandao wa "KUPATANA"

    Yaaap hilo tangazo LA hiyo flat screen nililiona nilishangaa kuona inauzwa cheap kiasi hicho nilipo mtafuta nikaona anakomaa nimtumie Pesa nikashtuka kusoma ujumbe pale chini
  6. U

    Huyu ndiye tapeli wa mtandao wa "KUPATANA"

    Watanzania kwa mihemko hatujambo tangazo linajieleza wazi kwamba Usitume Pesa mpaka uthibitishe wewe unakiherehere na mihamala yako.usawa mgumu juu wewe unatumaa tuu mpunga
  7. U

    Hivi kuna mtu mwenye picha yoyote ya Wahenga?

    Duuu huyu jamaa bado anaendelea kukua
  8. U

    Kumiliki "used toyota car" ni symbol tosha ya umaskini

    Kwanini usimwambie huyo MTU mpaka uje humu
  9. U

    Nini tafsiri ya kushangiliwa kwa Lowassa msibani Arusha?

    Mzeee wa siasa za kistaarabu
  10. U

    Kwanini funguo za gari zipo mkononi muda wote?

    Mtajuaje kama Nina drive
  11. U

    Tajirika na Sarafu ya AdsCash.

    Fursa nzuri saaana hii
Back
Top Bottom