Hivi kuna mtu mwenye picha yoyote ya Wahenga?

0d85d3b5af693188ab74c020e06fd59c.jpg
 
Mkuu Wahenga ni Watu waliokuwa na maneno ya busara yaliyojaa uhai ndani yake yanayoishi na kuendelea kuishi. Hao ni watu mbalimbali na pia sisi tunaweza kuwa wahenga baada ya vizazi kama viwili vijavyo.

Ila wewe kwa ufahamu wako mdogo huna sifa hiyo. Wewe ni MNUKUU wa sisi wenye Hekima na Busara.
 
Anayetaka usawa mwisho wake uchawi
Manaake hadi wazungu , wahindi ,wachina nk wanao WAHENGA=WISE MEN ( NOT WISE WOMEN??) [HASHTAG]#babalao[/HASHTAG] 2??
 
Back
Top Bottom