Hongera, kwa huu wakwangu wa 400k ngoja namm nijarbu kukaza fuvu nisave angalau 250k, as long nipo singo naamini ni uhakika kabisa. [emoji1787][emoji120][emoji120][emoji120]
Kuna kaukweli ndani yake ila sidhani kama wasanii wote wapo hivyo labda hawa wa kuimba wanaofosi umaarufu ila kwa upande wa waigizaji kidogo naona hapavumi sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.