Biashara ya Dagaa mikoani ni fursa pia

Jul 29, 2023
29
64
Habari ya leo wanajamii forum ?natumaini tunaendelea kupambana na kuendesha gurudumu liende mbele.
Waswahili wanasema ili usianguke na baiskeli hauna budi kukanyaga pedeli ili isonge mbele na ukiacha kukanyaga lazima udondoke.Hivyo endelea kukanyaga MUNGU WA WOTE Haijalishi kiasi gani tunamkosea lakini anasamehe na kututendea mema pale tunapo jishughurisha.

EMBU TUANGALIE VITU VYA KUZINGATIA KWENYE BIASHARA YA DAGAA KUPELEKA MKOANI KUTOKA MWANZA ZIWA VICTORIA.

1.
LESENI NDOGO YA KUSAFIRISHA DAGAA NDANI YA INCHI .Hii ni leseni ambayo upatikanaji wake ni rahisi kwa sababu ofsi zao zipo hapa KIRUMBA MWALONI MWANZA kwenye soko kuu la kimataifa la samaki na dagaa.Ambapo gharama yake kwa sasa ni shilingi elfu thelathini (Tsh 30,000/=).
Ukiwa na hiyo leseni unapeleka kila mkoa ndani ya Tanzania.

2. Kibali cha kusafirishia mzigo wako .hii document ni rahisi kuipata pia ndani ya dakika chache pia maana ofsi husika zipo hapa MWALONI KIRUMBA MWANZA Kwenye soko kuu la samaki na dagaa la kimataifa.(gharama ni ndogo pia ila inatozwa kulingana na mzigo wako ulivyo ukubwa).

3.Lipia ushuru wa mzigo wako unao usafirisha.kulipia ni rahisi pia maana wahusika wapo hapa hapa.

UKIWA NA HIVYO VITU KUFANYA BIASHARA YAKO NI RAHISI NA HAYUPO WA KUKUSUMBUA.

KWA WALE WANAO HITAJI DAGAA TAFADHALI NIPIGIE 0766029551.
SMS SITOJIBU HIVYO PIGA SIMU HIYO.
 
Habari ya leo wanajamii forum ?natumaini tunaendelea kupambana na kuendesha gurudumu liende mbele.
Waswahili wanasema ili usianguke na baiskeli hauna budi kukanyaga pedeli ili isonge mbele na ukiacha kukanyaga lazima udondoke.Hivyo endelea kukanyaga MUNGU WA WOTE Haijalishi kiasi gani tunamkosea lakini anasamehe na kututendea mema pale tunapo jishughurisha.

EMBU TUANGALIE VITU VYA KUZINGATIA KWENYE BIASHARA YA DAGAA KUPELEKA MKOANI KUTOKA MWANZA ZIWA VICTORIA.

1.
LESENI NDOGO YA KUSAFIRISHA DAGAA NDANI YA INCHI .Hii ni leseni ambayo upatikanaji wake ni rahisi kwa sababu ofsi zao zipo hapa KIRUMBA MWALONI MWANZA kwenye soko kuu la kimataifa la samaki na dagaa.Ambapo gharama yake kwa sasa ni shilingi elfu thelathini (Tsh 30,000/=).
Ukiwa na hiyo leseni unapeleka kila mkoa ndani ya Tanzania.

2. Kibali cha kusafirishia mzigo wako .hii document ni rahisi kuipata pia ndani ya dakika chache pia maana ofsi husika zipo hapa MWALONI KIRUMBA MWANZA Kwenye soko kuu la samaki na dagaa la kimataifa.(gharama ni ndogo pia ila inatozwa kulingana na mzigo wako ulivyo ukubwa).

3.Lipia ushuru wa mzigo wako unao usafirisha.kulipia ni rahisi pia maana wahusika wapo hapa hapa.

UKIWA NA HIVYO VITU KUFANYA BIASHARA YAKO NI RAHISI NA HAYUPO WA KUKUSUMBUA.

KWA WALE WANAO HITAJI DAGAA TAFADHALI NIPIGIE 0766029551.
SMS SITOJIBU HIVYO PIGA SIMU HIYO.
Bado leseni ni 30k? Mwaka 2018 nilienda pale nikachukua leseni, mhusika akadai mwakani ambayo ni 2019 itapanda hadi 100k na point.
 
Leseni,Kibali na ushuru vyote hivyo asee?
Kibali hulipii ila leseni ni kwa mwaka mzima! Ukiikata 2024 itatumika ndan ya huo mwaka bila kujali uliikata mwezi gani. Ushuru unategemea na uzito wa mzigo unaosafirsha
 
Poleni na majukum wana kundi la forums kwa kweli jamani biashara ya dagaa yenye kulipa kwa faida kubwa hususan ukiwa unafanya na mtu biashara mwaminifu kwa sababu sie wafanya biashara wa dagaa kazi zetu ni

kwaminiana nimefanya kazi hii faida nimeiona na hata nao wanaofanya nami kazi faida kubwa wanao washakua mabosi, maana mie ni mkausha dagaa wa mwanza kwenye chanja yani dagaa safi hapa mwanza bungonya,

Unasubiri nini tufanye biashara nitafute kwenye nambari hii 0717326995 jaribu uone utafauti wa biashara yako
 
Nishafanya hii biashara kutoa dagaa igombe kuleta mwaloni, nilipigwa na kitu kizito.. muwe mnasema na changamoto zake, wekeni bayana

Kweli watu wanatoka ila kama huna muda wa kusimamia man to man sishauri mtu aingie huku.
 
Nishafanya hii biashara kutoa dagaa igombe kuleta mwaloni, nilipigwa na kitu kizito.. muwe mnasema na changamoto zake, wekeni bayana

Kweli watu wanatoka ila kama huna muda wa kusimamia man to man sishauri mtu aingie huku.
Pole ndugu,,almost kila biashara especially za Africa zinahitaji usimamizi wa karibu kutokana na mazingira yetu na watu wanaotuzunguka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom