Nimeota hivi karibuni PSRS itakuwa chombo cha kutenda haki, maboresho yote tunayodai ikiwapo uwazi wa Data base yatafanyiwa kazi hii ni baada ya msaka ajira mmoja, kwenda jimwagia petrol na kujichoma moto hadharani mbele ya ofisi ya PSRS, hali iliyozua hasira na ghadhabu kubwa toka kwa jamii...
Binafsi kuna muda sioni hata sababu ya kuishi kila kitu kimegoma😓 nimeingia oral kadhaa hivi karibuni, mambo yanagoma mbaya zaidi unasikia Naibu waziri anataka toa ajira kwa kwa wanaojitolea nimetafuta intern kwa damu na jasho sijawahi pata naona Giza tuu mbele sina mtaji na watu walikuwa...
Ridhwani aachane na mpango wa kutaka ajili watu kwa kigezo cha kujitolea ni kuturudisha nyuma kipindi cha giza kuu, la kujuana na rushwa za pesa na ngono.Huwezi jitolea bila connection hasa.
Awali ya yote nichukue nafasi hii kuipongeza Serikali kwa juhudi kubwa iliyofanywa kuondoa au kupunguza upendeleo katika nafasi za kazi serikalini kwa kuunda chombo kimoja kitakacho simamia ajira za umma (PSRS) iliyo chini ya ofisi ya Raisi.
Ni kweli kuna mapungufu kadhaa ndani ya hiki chombo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.