Recent content by uporoto01

  1. U

    JamiiForums Tanzania Bajeti 2019/2020

    grisi ishapatikana tunatafuta spana
  2. U

    JamiiForums Tanzania BH99

    figa niga,invisible.maxence mello, mushi ,mzee mwanakijiji
  3. U

    JamiiForums Tanzania BH99

    Nawatafuta lizzy,,naima omari,cheusi mangara, faiza foxy, klorokwini, .
  4. U

    JamiiForums Tanzania Toto tundu nuksi kweli

    Hilo nalo neno
  5. U

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Jinsi ya kuitumia JamiiForums (Wageni na Wanachama)

    Wakuu wenzangu wa zamani sijaonekana muda mrefu, wapangaji ndio wanaopanga bei na namna ya kukulipa au wanahama, upanga nyumba ya 3 bedroom ni laki 7 kutoka dola 1100. fremu kariakoo ni 500000 kutoka dola 1200. Wageni karibuni musiwe waoga tena ningependa members wote angalau wawe ni diploma...
  6. U

    JamiiForums Tanzania Kamanda Sirro atangaza oparesheni maalum kwa wenye vyeti vya kugushi

    Kila idara ihakiki vyeti na kutoa takwimu kama za waajiriwa hewa tuseme ndani ya miezi sita na hatua zilizochukuliwa ili tuanze mwaka 2017 kwa kuajiri wanaostahili. Hili tatizo ni kubwa nakumbuka mpaka mawaziri fulani miaka iliyopita walihusishwa na vyeti feki.
  7. U

    JamiiForums Tanzania Updates zoezi la kuzima simu bandia

    Hi girl longtime no hear.
  8. U

    JamiiForums Tanzania Salaam kwa wote chitchat kutoka kwa Uporoto01.

    Mi uporoto01 nikiwa Nairobi nawasalimu wana chitchat popote mlipo wageni na wakongwe.Nilikuwa bongo kwa muda wa miezi miwili na sasa nimerudi kituo changu.
  9. U

    JamiiForums Tanzania Hawa wana MMU wamapotelea wapi? Ninavyowamiss!

    Husninyo niko somalia mwezi sana nasubiri kazi UN ntakuja nairobi mwezi ujayo,bongo ntakuja kupiga kura mwakani,wasalimie wote.
  10. U

    JamiiForums Tanzania Naweza pata kazi Tanzania?

    Hili ni swali nalokutana nalo kila siku napoongea na Wakenya katika mihangaiko yangu hapa Nairobi.Hivi huko Bongo mkikutana na Wakenya huwa mnawauliza nini? Nipo hapa Natural Heritage iliyopo Kenyatta Market naangalia Man U wakicheza na Wigan wakigombea ngao kabla ya ligi kuanza rasmi wiki ijayo.
  11. U

    JamiiForums Tanzania Kaby is here

    Sweety tusipotee tena wanadai walitumiss,wapi Klorokwini na Lizzy wajameni.
  12. U

    JamiiForums Tanzania Eid Mubarak wapenzi wa Chit-Chat.

    Nawatakia Eid njema members wote wa chit-chat popote walipo,wengine wanasherekea leo na wengine kesho la muhimu nawatakia afya njema na furaha maishani mwenu.
  13. U

    JamiiForums Tanzania With Heartfelt Sentiments on your Birthday!

    Siamini kama umerudi JF mi nipo Nairobi nakusanya hela za kugombea urais 2015 mgombea binafsi,za siku mob? mzima?
  14. U

    JamiiForums Tanzania With Heartfelt Sentiments on your Birthday!

    Unakula nini hapa nafakamia kababu kubwa za Nairobi.
  15. U

    JamiiForums Tanzania With Heartfelt Sentiments on your Birthday!

    Sweetlady na Hus tumeshaonana lakini nawatafuta Kaba na Kloro ukiwaona waambie nimerudi.
Back
Top Bottom