Hawa wana MMU wamapotelea wapi? Ninavyowamiss!

Hawa wana MMU wamapotelea wapi? Ninavyowamiss!

mi nimewamiss sana dada mkubwa Lizzy, bi mdogo wa zamani Passion Lady na mzee wa kuloggoff Washawasha!

kwa yeyote atakaewaona kokote na kuwawasilisha kwangu,

namtangazia dau la dola 100,000 za kimarekani!

changamkieni dili hilo...
Mkuu Excell,tupo majukumu yamekuwa magumu mno,najuta kwanini nimekuwa mkubwa.
Nalog off
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom