Recent content by unstopable man

  1. U

    JamiiForums Tanzania Tabora tunataka RC Muislam sasa

    Write your reply... We jamaa jau
  2. U

    JamiiForums Tanzania Nitumie mbinu gani kumuachisha kucheza e Football kijana huyu, linamlaza saa 10 alfajiri

    Mkuu jipongeze una kidume, angekuwa anasikiliza udaku na taarabu nahisi ungelia. Kwa ushauri wangu muite kaa nae mfundishe mgawanyo wa muda , kuacha hawezi ila anaweza tenga muda wa kucheza mfano wakati wa usiku kataza matumizi ya simu mpaka muda wa kwenda kulala. Pili mpe kazi zinazohitaji...
  3. U

    JamiiForums Tanzania Dada zangu wamegombana na mama mmoja hivi mtaa wa pili kisa mimi

    Kudanganya hujui mkuu
  4. U

    JamiiForums Tanzania Tangu nijiunge JF, nimeweka bando la Tsh. 500 tu, mpaka leo halijaisha! Unajua kwanini?

    Write your reply... Operamini ina ubia na baadhi ya nchi za africa mfano kwa africa mashariki ukitumia laini ya airtel unatumia mtandao bure kuperuzi bila mb kabisa
  5. U

    JamiiForums Tanzania Mtu mwenye diploma ya forensic science asome kozi gani degree

    Habari za muda huu wakuu Naomba ushauri, mtu mwenye diploma ya forensic science anaweza kusoma degree ipi hasa kama anataka kujikita kwenye uchunguzi wa maiti
  6. U

    JamiiForums Tanzania Mikakati ya Aviator: Ushauri kwa wachezaji wa Tanzania wenye uzoefu

    Kamwe usijaribu , na kama umejaribu tafuta msaada kwa watu ujitoe. Talking by experience
  7. U

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyofilisika na kupoteza Tsh Milioni 25 kupitia kamari ya Aviator

    Pole kwa yote mkuu na pia nikupongeze sana kwa kushirikisha watu wako wa karibu, huu uraibu unaua watu wengi kimya kimya.. Lakin hatua ya kushirikisha ilikuwa uponyaji mkubwa sana kwako. Mungu akufanikishe kwa safari mpya ya maisha. uhai ndo kila kitu. mali zinarudi lakini uhai tumepewa mara moja
  8. U

    JamiiForums Tanzania USHAURI nisome Foundation Course Program au nimalizie Diploma ya Clinical Medicine?

    Nimekuchek na namba inaishia 38 halotel
  9. U

    JamiiForums Tanzania Tupeane updates za ajira mpya JWTZ 2026

    Naombi moja kwako MUNGU baba.... dah kesi ishakuwa ngumu hii.. nikihesabu nauli za nenda rudi msalato Makao dadeki
  10. U

    JamiiForums Tanzania Tupeane updates za ajira mpya JWTZ 2026

    Wakuu kimya sana .. Kuna aliepigiwa simu huko wazee au wameita kimya kimya dadeki
  11. U

    JamiiForums Tanzania Nina mashaka na uungu wa Yesu. Inakuwaje Mungu anapigwa misumari msalabani na watu aliowaumba?

    Tafuta movie inaitwa The shack utaelewa vizuri kuliko. imeigizwa kwa refference za kwenye biblia.
  12. U

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu course hizi za Diploma

    Kama unataka ajira serikalini Nashauri usome nursing kama unataka ujiajiri bas pharmaceutical ipo vizur. Nimegusia kwa kozi za afya kwa uzoefu wangu. Nb; kusomea afya ni wito hivyo sikiliza moyo wako
  13. U

    JamiiForums Tanzania USHAURI nisome Foundation Course Program au nimalizie Diploma ya Clinical Medicine?

    Shukran sana mkuu kwa kuniongezea maarifa, nimekupata vyema
Back
Top Bottom