unstopable man
Member
- Jun 19, 2026
- 18
- 37
Mkuu,, miezi 6 mbele utashangaa ITV bijana 2500 wamekula kiapo cha utii RTS kihangaiko..
Naombi moja kwako MUNGU baba....
dah kesi ishakuwa ngumu hii.. nikihesabu nauli za nenda rudi msalato Makao dadeki
Mkuu,, miezi 6 mbele utashangaa ITV bijana 2500 wamekula kiapo cha utii RTS kihangaiko..
Kila lakheri mkuu,, ila nadhani mambo bado labda maana bajeti rasmi zinaanza matumizi 1 July.Naombi moja kwako MUNGU baba....
dah kesi ishakuwa ngumu hii.. nikihesabu nauli za nenda rudi msalato Makao dadeki
Tatizo hata ukikubaliwa maombi, ni Mpaka uwe na nauli ya kusafiri mpaka huko. Bado ni taabu tupu !Hakuna koneksheni, muhimu uwe tayari kwa lolote, tena wanatakiwa wengi zaidi ili watangulizwe mbele.
Tatizo hata ukikubaliwa maombi, ni Mpaka uwe na nauli ya kusafiri mpaka huko. Bado ni taabu tupu !![]()
Join Ukraine Army – Official Foreign Recruitment Center | joinuarmy
Foreign Recruitment Center of Ukrainian Army for volunteers who wish to join Ukrainian Army. Fill out the form to joinjoinuarmy.org