Mkuu mada imenigusa Ila najiuliza maswali mengi kuhusu lyfe after death sipati majibu maana hata nikiuliza hakuna aliekufa anipe ukweli ntaishia kupewa nadhalia tu,,, yana nachanganyikiwa sanaaa sijui lini ntakufa?? Sijui itakuaje ,,,all I know ni kumpendeza mungu nisipate adhabu ya milele...