Hili la mwanamke kubeba jeneza ndo mila za Kiafrika au usasa?

R.B

JF-Expert Member
May 10, 2012
6,296
2,571
upload_2017-6-6_8-12-36.jpeg
 
Nini ajabu!

Makamanda hawachagui kazi..!

Kamamanda huyu, sio Juliana Shonza..! Anaililia ukutani za wabunge wa ccm
 
Itikadi za dini kisiwe kigezo cha utamaduni wa mwaafrika.Acheni uongo na unafiki.Ni jambo la mazoea tu lakini hakuna mwiko wa mwanamke kubeba jeneza;.Isitoshe imani ya dini hiyo siyo imani ya dini inayokataza wanawake kushiriki maziko.Staarabikeni kwa kusoma alama za nyakati.
 
Kisa chadema ndio wamebeba imekua habari! Vichaaa ni wengi ule utafiti unamakosa!
 
Binafsi, nimekuwa nikihudhuria misiba mingi ila sijawahi bahatika kuona mwanamke amebeba Jeneza. Isipokuwa kuna baadhi ya mila huwa zinawapa wanawake namlaka yote kuzika watoto wachanga waliokufa kabla au wakati wa kuzaliwa...
Kunakitu nimeongeza ktk maisha yangu kutokana na hili...
 
Sote ni binadamu tofauti ni jinsia,,,,,kutendeana wema hakuulizi ni mke au mume ,,,,bora mwanamke aliebeba jeneza kuliko mwanaume mshika dini ambaye ni mnafki na mzinzi anaejificha
 
Binafsi, nimekuwa nikihudhuria misiba mingi ila sijawahi bahatika kuona mwanamke amebeba Jeneza. Isipokuwa kuna baadhi ya mila huwa zinawapa wanawake namlaka yote kuzika watoto wachanga waliokufa kabla au wakati wa kuzaliwa...
Kunakitu nimeongeza ktk maisha yangu kutokana na hili...
Unashangaa mwanamke kubeba jeneza? Mbona watu hufia mikononi mwa mwanamke? Mbina wanawake huosha maiti? Hilo haulishangai? Mbona katibwa inavunjwa hilo haulioni?
 
Acheni ubwege someni zakaria 12/12 wanawake peke yao na wanaume peke yao kwa hiyo mnamuona yuho mzee ndesa kama nabii wa chadema mnakua na jazbaa vitu vidogo tu mbona hospitali wanaume peke yao na wanawake peke yao namajela ni hivyo mahabusu ni hivyo hata masister nao wanalala peke yao mtu tutusa ni tutusa acheni ubashite( o) brein
 
Sote ni binadamu tofauti ni jinsia,,,,,kutendeana wema hakuulizi ni mke au mume ,,,,bora mwanamke aliebeba jeneza kuliko mwanaume mshika dini ambaye ni mnafki na mzinzi anaejificha
Safi unafiki Hatariiii sana wanazin na wanawake wengi wanajidai wafia dini
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom