Mwanamke msumbufu sana jamani.

Mwanamke msumbufu sana jamani.

nchi ya vi-wonder kweli!
thread kubwa pointi nukta(.)!
wewe ni mvulana au mwanaume ?
 
Uzoefu unaonyesha kwamba watoto wa kike ndio hulia juu ya mapenzi.

Lakini kizazi hiki naona kuna MABADILIKO.

Nyie wavulana wa leo jiandaeni kutawaliwa na wasichana wa leo. Maana hakuna namna nyingine ikiwa hamuwezi kukabiliana na changamoto.

Yaani mtoto wa kike ana IQ kubwa kuliko wewe? Angalia atakuoa aisee.
Du unaniambia mimi au mtoa thread? Nilikua namjibia tu maana kuna mwanaume na mtoto wa kiume
 
acha kulia kijana, demu wa chuo anakusumbua hivyo? weka picha yake kwanza tumthaminishe...
 
Huyo demu anahangaikaje na mtu ambaye hata kuandika hajui.....Bashite namba mbili,wahed!
 
Vicheche wawili,nipe namba za huyo Manzi! ntahakikisha akusumbui tena.
 
Hivi mwanajf mwenzetu DEO KISANDU yuko wapi siku hizi?
 
Nimeisoma thread yote nimekuja kuelewa hapa mwisho tu kuiona nukta
 
Habari za sasa wakuu!
Natumai mnaendelea vyema na mchaka mchaka wa hii serikali ya magu kama alivyosema hapa kazi tuu so ni kazi kweli hakuna kujali.

Dhumuni la kuja hapa wakuu ni kuomba msaada baada ya kuona hali inazidi kuwa mbaya baada ya kufuatiliwa na binti anaesumbua sana hapa nchi pengine na dunian kwa ujumla sababu ya upekee wake.


Wakuu huyu binti alinitafuta toka mda mta ila mimi sina mda nae coz ni kuda tuu huyu hawez nisaidia lolote.

Mimi huyu dada simtak kwan hana lolote zaid ya unafiki tuu na kwa sababu anajua simpendi so kaamua kunikaba kila eneo. Sio chuoni, mtaani, social networks an namba zangu zote za simu yani lengo lake ni mimi niwe mpenzi wake sasa mimi sitaki sababu sina love nae kwangu ni choko tuu.

Akaona nimeamua kuiblock hii mitandao akaamua aje kwenye namba zangu za simu sasa huko kavuruga kabisa yani sasa hivi sifanyi mawasiliano kwa amani kabisa. Na kuona hilo halitoshi kaweka watu watu wake mitaa nayopitaga ili azma yake itimie ila mimi sitaki kabisa hayo mahusiano.

Wakuu mara nyingi mahusiano yanayoanza bila love huishia pabaya yani hakuna kitu kibaya kama kulazimisha upendo, wahenga wanasema upendo haulazimishwi bali ni kitu ambacho ni automatic, na will ya mtu. Nachukia sana usnitch na unafiki kwa ujumla, Mimi kama siwezani na wewe nakuchana mapema ila baadae usije niona mbaya kwako.

Baada ya mimi kuacha chuo kwa sababu huyu binti basi kaamua kuja kupanga karibu na chumba changu kabisa.

Baada ya kupanga ikawa anatupa vijembe moja kwa moja sasa as long anatimiza azma yake. Maneno yake ni makali sana nimeshindwa kabisa kuishi kwa amani.

Mnyama nikaona sio shida nikaamia nyumba nyingine sasa baada kuona nimehama ndo akaamua awe anakaa hapo nje kwao anipe vijembe kabisa na vinafika kwa sababu anapayuka kama yake maspika ya CCM kipindi cha uchanguzi mkuu.
So sina jinsi kwa kila napoenda yeye yupo.
Naskia saiz ameamua ategeshe na vifaa kabisa ili unifatilie vzur na kutrack kila move nayofanya.
Lakini kwanini hivi kwani mpaka umdhalilishe mtu? maybe yawezekani kilio changu ni furaha kwako, unajua mwenyewe.

As long as anatumia watu wake waniipige vijembe huko JF coz anajua mahali napopenda kukaa mimi nimeona kero naombeni mnisaidie. Huyu mwanamke ni fala sana pamoja na wadau naosoma nao hapo chuo yani mwana unaetegemea akupige tafu nae anakua mstari wa mbele kuhakikisha kidume unaishi maisha ya huzuni tuu, Wakuu mara mia usalitiwe na wanawake lakini sio wana yani kidume mwenzio unategemea yani awe akusevu yani anatemea kimyya kimya halaf mkikutana inakua shangwe kinoma kumbe snitch tuu, nishawahi kumia ila sio hivi. Na kama haitoshi baada ya maticha kujua sina mda nae wakaanza kunisema vibaya kimafumbo, daa maneno ni mabaya sana wakuu niliamua kuacha chuo kiroho safi tuu haina mbaya maisha yapo kwa rizki ya Mtu Mungu ndie anaetoa na sio binadamu. Yani nikipanda daladala lazima nikute mtu mmoja au wawili wakinisema vibaya kimafumbo.
Nimeamua kuachana na chuo sababu ya huyu mwanamke coz mwishowe sijui nitaishia wapi.
Kafanikiwa sana kutimiza azma yake kila sehemu kafanikiwa.


Nilikerereka sana alipoanza kufatilia mawasiliano yangu ya simu. Ni jambo baya sana kuingilia privacy ya mtu. utalalamika wapi? kwenye makampuni ya simu? huo ushahidi unao?
Sijawahi ona mwanamke mbaya kama huyu hii dunia. Mtu unambana mtu hadi kwenye mawasiliano yake? unafaidi nini sasa kuona mtoto wa mwanamke mwenzio akiteseka? unafurahia kila siku kumwona mwenye huzuni kila kukicha?

Plz wewe mwanamke najua sijawahi kukukosea wala hatujawahi fanya biashara yotote ile useme nilikudhulumu! Please niache nisome mtoto wa watu wewe tayari unamaisha mazuri, unasoma vizuri tuu na wazaz wako wana fedha nyingi sana. Niache mimi mtoto wa maskini nipambane na kiuwezo changu cha kukariri sio mbaya Mungu nae hujalia sisi v*ilaza. Mimi sina ugomvi na ww wala sitarajiii kukushtak popote zaid ya kuomba ushauri hapa JF leo.
Imefikia stage watu wako wananiita shoga? daa anyway kila mtu atalipwa kila astahilicho ila mimi sitaki wala sishindani na wewe ndugu unaeita wenzio masgoga sa sijui ni kweli au ulifanya hilo tendo anyway utajua na moyo wako.
Najua huwaga unapita humu pamoja na wakala waka wako plz mimi sishindanii chochote na wala siko tayari kushindana na wewe kwani mimi uwezo sina.

Naomba niache nisome bana wew ushatoka kimaisha.
Jana niliskia ukiniigizia navyofunguaga mlango hapa na sauti yangu its Okay umeshinda ushindi mnono naomba niachie sasa nisome mimi sina mda na wewe wala siji kuomba kazi kweni au kushindania kuomba ajira na wewe plz i am sorry samahani kama nimekukosea naomba naiche nipige msuli bana.

Nakukumbushia tena ewe binti sipo interested na wewe hata kidogo plz move on kuwa na amani siwezi kudanganya mm sina time na wewe kwan ulishakosea mda hatutafanya chochote. Huwezi weka on public my privacy halaf ujipe moyo eti ntakua baby wako! how?? hakuna kitu kama hiki hii dunia, sipendi unafik i love this country na sitakubali kuwa mwongo, unavuojipenda na ww penda wenzio ivo ivo usiwanyie wenzio maasi. Ukiona nakosea tumia njia nzuri ya mazungumzo sio unidhalilishe. Wewe umewahi tembe uchi public ww? plz jali privacy ya mtu.
Wape thanks kwa wote waliokamilisha mipango yako, yes they did it well...!
Wape pongezi kubwa sana watendaji wako wamefanikisha each and everything.


WAKUU NIKO AFFECTED PSYCHOLOGICALLY YANI SINA HAMU KABISA NA WANADAMU HAPA DUNIANI HATA WAZAZI WANGU WALIONIZAA. SINA HAMU KABISA KUISHI MAISHA YA VILIO KILA KUKICHA HUU NI MWAKA PILI NAISHI KWA MASHAKA.
NAOMBENI MSAADA WAKUU SINA LA KUFANYA SABABU YA HUYU WANAMKE NISIEMPENDA. UMRI UNAKWENDA FAMILIA INANISUBIRI NA NDUGU.
BORA HATA KWENU MMEZALIWA WENGI MIMI NIMEZALIWA PEKE YANGU MAMA YANGU ANANITEGEMEA MIMI NDO KWANZA NAHaNGANIKA NA WALIMWENGU.
PLZ NAOMBENI SANA MNISAIDIE WAKUU.
Natanguliza shukrani.


YAANI SIJAELEWA KITU CHOCHOTE
 
Huyu jamaaa kuna kitu hatuelezi vizuri haiwezekani mwanamke uwe hujawa na mahusiano naye akufatilie kiasi hiko

Kunywa maji tuliza nafsi afu tueleze vizuri
mkuu wanawake we wasikie tuu.
 
nashukuru sana.
pole sana mkuu ila sijapenda kuona unashindwa kufanya mambo yako kwaajili yake

sijapenda pia kama kweli umeacha chuo kwaajili yake
huo ni mtihani ambao mungu amekupa

bado unayo nafasi vumilia japokua katika thread yako sijaona imani yako juu ya hili

ila nataka nikwambie tyu kua na subra kumbuka kisa cha nabii yusuf (rahim allahu)

hakika ya subra haikuwai kumtupa mtu

we ishi uku ukitambua kua mungu anakuona mungu anashuhudia mapito yako

cha muhimu wewe ni kuomba mungu tena sio akuondoshee hilo jambo hapana

omba mungu akufanyie wepesi ,akupe subira katika matatizo

i swear iko siku yeye mwenyewe atadhalilika kupitia kwako wewe

ikiwa tyu utafanya kama nilivyo kueleza


asalaam alykum
 
Back
Top Bottom