You tolerate "simple errors" you encourage incompetence. Haya ni matokeo ya "Mwongozo wa TANU, 1972" uliopiga vita supervision na hivyo kuendekeza utendaji mbovu kila mahali, serikalini hadi uraiani. Taifa linahitaji kuelewa misingi ya matatizo yetu iko wapi ili kuweza kuyarekebisha matatizo hayo.
Wataka Kuvunja Muungano ili warudishe Ukoloni wa Mwarabu...
... na Utumwa wa Mwafrika
Ukoloni wa Zanzibar, tofauti na Tanganyika, ulikuwa na vichwa viwili: Mwingereza na Mwarabu. Kichwa cha Mwingereza kilitoka 10 Decemba 1963. Kikabaki cha Mwarabu na ukoloni wake Mkongwe ambao ulidumu kwa...
Jamani mbona watu wangu wanasahau sensa ya watanzania 2012? Nyie mlioko Takwimu, Mipango, Ikulu, na wadau wengine, mbona hatusikii lolote kuhusu sensa? Sensa ya mwisho ilifanyika 2002. Actually ilitakiwa kufanyika 1998 lakini wakazembea. kwa hiyo ili kwenda sawa sensa iliyofuata ilitakiwa...
Sakata la Dowans: ICC Siyo Mahakama wala ya Kijiji licha ya Kimataifa
Mimi nawashangaa Watz wengi, tena walioenda shule, wanavyochukulia vitu kijuu juu tu bila uchambuzi na kupokea wanayoambiwa tu bila kuyachekecha. Watu wanasema kuna mahakama ya kimataifa imehukumu kuwa Dowans walipwe...
Watanzania wengine nuksi tupu. Wanawapenda wanaoua uchumi wa nchi, wanaotutembeza uchi, wanaobomoa nyumba zetu na kutuua kwa ugonjwa wa moyo; lakini wanawachukia waliotuvalisha nguo, walioondoa foleni, wanaoineemesha nchi na kumwezesha kila mwananchi kuboresha maisha yake kwa kumwondolea vikwazo...
Mimi nimesikia tetesi kwamba Mzee wa Ukweli na Uwizi na Mzee Ruksa walikuwa pale Bwawani wakawaita Mzee wa Sawasawa na ZEC mbele ya Shein na kuwaambia kuwa haiwezekani Shein asiwe rais kwani Zanzibar itaacha kuongozwa na CCM wakati bara itakuwa bado chini ya CCM; sasa Muungano utakuwaje ikiwa...
Pole sana Mashayo, naelewa hasira yako and I sympathise with you. Msingi wa tatizo la utendaji katika serikali ya Tz ni kuwa watendaji wa ngazi ya juu wamechakachuliwa akili zao na ubora wao (competence). Ukiwa na akili huteuliwi na ukiwa mtendaji bora huteuliwi kuwa mtendaji wa ngazi ya juu...
Sheria inasema nini kuhusu Kujumlisha kura za wagombea Uraisi na Kutangaza matokeo.
Wakuu,
Nimetonywa na chanzo kinachoaminika kuwa M-Kiti wa Tume ya Uchaguzi akisha pata jumla ya kura walizopigiwa wagombea Urais, anaichukua jumla hii na kuipeleka kwa Rais kupata kibali chake kabla hajatangaza...
Pombe ni pombe tu. Under the proper circumstances it evaporates. Huyu jamaa mjanja mjanja tu, mkandamizaji na mzulumaji mkubwa. Ni yeye ameanzisha utamaduni wa bomoa bomoa bila fidia na ndiye aliyefanyaa yale mazingaombwe ya kugeuza nyumba za serkali zikawa "nyumba zao!" Na wasomi wengine...
Agreed! Hongera Mzee Tini. Baada ya Kejeli na Manyanyaso ya miaka 15, mwezeshaji wa kwanza wa upinzani kupata wabunge anarudi bungeni. Pata kisusio urudishe damu na nguvu. People's Power is the REAL power.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.