Inasikitisha sana kuona website ya tume ya uchaguzi inakosa matokeo rasmi ya uchaguzi licha ya maafisa mbalimbali wa tume hiyo kuyatangaza rasmi matokeo ya majimbo mbalimbali.
Wakati nafungua tovuti hii nilitengemea kukuta ukurasa wa 'Live Results' matokeo yake nimekosa hata wa 'Yesterday Results'.
Kama waandishi wa habari pamoja na baadhi ya watu binafsi tayari wana soft copy ya matokeo ya majimbo mbalimbali (majimbo zaidi ya 44 hadi sasa), ni nini kinachowazuia webmaster au PRO wa NEC kuyaweka kwenye website ya tume?
Watanzania walioko nje ya nchi ambao hawakamati Chanel Ten, ITV na TBC watajuaje matokeo? Mtu ambaye alikuwa anaangalia TV simu yake ikaita gafla akirudi atajuaje matokeo au mnataka ariwaindi 'Re-wind' TV?
Au na kwenye ku-upload matokeo kuna vifaa mnangojea bado havijafika...? acheni kutuabisha watanzania. Kazi ya ku-upload file la matokeo inaweza kufanyika hata kutumia simu ya mkononi. Pia kwa kompyuta ya kizamani kabisa itakuchukua kama sekunde 55 hivi. Kifaa kinachoitajika hapo ni kompyuta na internet tuu.
Can you imagine website ya tume hata News Update ya kutangaza hatma ya uchaguzi wa Zanzibar haina? au inaamaana hamjui kuwa Dr. Sheini ashatangazwa kuwa Rais mteule Zanzibar?
Hivi nyie watendaji wa NEC, hamjisikii aibu kuona watu wanatafuta matokeo rasmi kwenye blog na website binafsi wakati nyie mpo na uwezo wa kuyaweka hewani mnao? Hamuoni hatari ya kitakachotokea endapo yatapotoshwa? Hivi mkilipwa mshahara au allowance kwa kazi ambayo hamkufanya mtajisikiaje?
Hivi mnajisikiaje kuona blog na tovuti za watu binafsi zimesheheni matokeo uchaguzi ya majimbo mbalimbali alafu ya TUME ya Taifa haina? Pia mnajiskiaje kuona Raisi wa Nchi anazungumzia maswala ya mkonge wa taifa, e-government, seacom na n.k alafu nyie hata ku-update website at the right time kunawashinda? kama mmezidiwa na kazi ni vyema mka outsource webmaster mapema.
Kama kuna mtu nimemkwaza naomba anisamehe, lakini nimeandika hivi kwa uchungu sana. nimekasirika sana kuona uzembe wa mtu mmoja au wawili (NEC staff) unasababisha mamia ya watanzania kupoteza muda mrefu kwenye Internet kusechi google.com na blog mbalimbali kutafuta matokeo ya uchaguzuzi. Kwani hao wenye blogs wameweza wananini na nyie staff wa NEC mshindwe kwanini
Wakati nafungua tovuti hii nilitengemea kukuta ukurasa wa 'Live Results' matokeo yake nimekosa hata wa 'Yesterday Results'.
Kama waandishi wa habari pamoja na baadhi ya watu binafsi tayari wana soft copy ya matokeo ya majimbo mbalimbali (majimbo zaidi ya 44 hadi sasa), ni nini kinachowazuia webmaster au PRO wa NEC kuyaweka kwenye website ya tume?
Watanzania walioko nje ya nchi ambao hawakamati Chanel Ten, ITV na TBC watajuaje matokeo? Mtu ambaye alikuwa anaangalia TV simu yake ikaita gafla akirudi atajuaje matokeo au mnataka ariwaindi 'Re-wind' TV?
Au na kwenye ku-upload matokeo kuna vifaa mnangojea bado havijafika...? acheni kutuabisha watanzania. Kazi ya ku-upload file la matokeo inaweza kufanyika hata kutumia simu ya mkononi. Pia kwa kompyuta ya kizamani kabisa itakuchukua kama sekunde 55 hivi. Kifaa kinachoitajika hapo ni kompyuta na internet tuu.
Can you imagine website ya tume hata News Update ya kutangaza hatma ya uchaguzi wa Zanzibar haina? au inaamaana hamjui kuwa Dr. Sheini ashatangazwa kuwa Rais mteule Zanzibar?
Hivi nyie watendaji wa NEC, hamjisikii aibu kuona watu wanatafuta matokeo rasmi kwenye blog na website binafsi wakati nyie mpo na uwezo wa kuyaweka hewani mnao? Hamuoni hatari ya kitakachotokea endapo yatapotoshwa? Hivi mkilipwa mshahara au allowance kwa kazi ambayo hamkufanya mtajisikiaje?
Hivi mnajisikiaje kuona blog na tovuti za watu binafsi zimesheheni matokeo uchaguzi ya majimbo mbalimbali alafu ya TUME ya Taifa haina? Pia mnajiskiaje kuona Raisi wa Nchi anazungumzia maswala ya mkonge wa taifa, e-government, seacom na n.k alafu nyie hata ku-update website at the right time kunawashinda? kama mmezidiwa na kazi ni vyema mka outsource webmaster mapema.
Kama kuna mtu nimemkwaza naomba anisamehe, lakini nimeandika hivi kwa uchungu sana. nimekasirika sana kuona uzembe wa mtu mmoja au wawili (NEC staff) unasababisha mamia ya watanzania kupoteza muda mrefu kwenye Internet kusechi google.com na blog mbalimbali kutafuta matokeo ya uchaguzuzi. Kwani hao wenye blogs wameweza wananini na nyie staff wa NEC mshindwe kwanini