Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
Huyu maji marefu ni profesa wa nini? Mwenye taarifa naomba msaada.
ni mganga wa kienyeji alikuwa anatoa uchawi ..uprofesa wake ni kama profesa J
Huyu maji marefu ni profesa wa nini? Mwenye taarifa naomba msaada.
umedodakwa hiyo hawa ndio wanafidia kukosekana slaa bungeni!!! Na hasara nyingine ni atakaposhindwa urais na dalili zinaonyesha!!!!!
wana jf mpaka sasa mambo yana kuwa na utata, kiravu kaenda ubungo , manyika according to primary election kutoka kata zote anaongoza kwa kura zaid ya elfu 20, wakawaambia tume wahesabu kwa kutumia excel,wakina mnyika walienda na laptop sita, wasimamiz wa kituo wakasema hawawezi kuzitumia, kwahiyo wamepeleka laptop kutoka makao makuu nec, ndio wameanza kuhesabu,..
Shukrani, karibu ndoto yangu inatimia ningekikosa hiki kichwa bungeni ningesikitika sana, ni kijana aliyeitumikia Chadema kwa moyo wote na wote tumeshuhudia. Mdee alimaliza aliposema mbunge mmoja wa Chadema ni sawa na wabunge 20 wa CCM. Hongereni sana huko bungeni sijui kama patatosha.
mtaamini kila udaku...mi niliongea nae kwa simu, ngoma bado mbichi!haki ya nani vile,sasa roho imetulia
sababu ilitolewa hasa nini kilichofanya wachelewe?
kura zikoje ebu tupe tulale
Kawe tunasubiri
ngoja nikupe siri usiyoijua, kwa matokeo ya sasa, kila kiongozi wa ccm anahjihisi analawitiwa....chadema wametoa kichapo tulichokuwa tunakihitajikwa hiyo hawa ndio wanafidia kukosekana slaa bungeni!!! Na hasara nyingine ni atakaposhindwa urais na dalili zinaonyesha!!!!!
Huyu maji marefu ni profesa wa nini? Mwenye taarifa naomba msaada.
kwa hiyo hawa ndio wanafidia kukosekana slaa bungeni!!! Na hasara nyingine ni atakaposhindwa urais na dalili zinaonyesha!!!!!
na wamtangaze na halima mdee ili aende akapumzike sasa, hajalala tangu juzi, kama walifikiri atakuwa legelege kwa uchovu ili wachakachue wamekwisha.
Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba kijana Mnyika ni Mbunge wa Ubungo kuanzia leo. Ameshinda kwa kishindo na watu wote wamelipuka kwa shangwe. Pale Loyola kwa sasa hapakaliki!!
hivi kuna mtu anajua nini maana ya kile chuo cha Mwalimu Nyerere Magogoni.? maana tunachagua tu viongozi sababu ya ushabiki, sasa hawa mnaowashabikia mfano Sugu, Kalapina, Maji marefu na wengine wengi wataenda kufanya nini bungeni.? wengine shuleni walikuwa vilaza, km kweli tunataka kuwa na mapinduzi ya ukweli lazima tuwaandae viongozi wetu lasivyo tutakuwa tunaruka mkojo tunakanyaga mavi.Sugu kwa pembeni bila kumsahau mzee wa kiraracha, najaribu kupiga picha bungeni Mrema akibishana na prof. Maji marefu kazi ipo.
Profesa Maji Marefu ni Mganga wa Kienyeji, darasa halijui=mbumbu, yeye na Shekhe Yahya ni sawasawa. Kama nayeye amekuwa mbunge basi ni balaa bunge litalipuka kwa uchawi huko.
Kwa kifupi ni Profesa wa kujiita mwenyewe kwa kufanya mambo ya nguvu za kiza. Binafasi siamini kama amekuwa mbunge,
Hizi siyo tv ni video ambayo hadi ukaweke mkanda kwenye deki hakuna cha live wala nini.izi TV zetu vilaza sana,wako wapi sasa kutangaza?
:glasses-nerdy:lazima waipate fresh bungeni uchawi umeingia