Kana kwamba baba alikataa kushika mimba!!?
Kana kwamba baba alikuwa na maziwa akakataa kunyonyesha!!?
Mara nyingi baba huwalea na kuwahudumia mama na mtoto katiba maisha yake yote (baba) ya kuwepo hapa dunia.
Mimi Baba ndio ninajua mke na mtoto wale nini wavae nini, Mimi ndio najua wakiugua...
Tamaa yenu ya kuona chuki ikijaa mioyoni mwetu wananchi inatupa hofu kuliko hofu ya watekaji.
Kwani wanasiasa waliozishinda serikali kama hizi bila kujaza Watu chuki walitumia mbinu gani?
Watu wanatekwa tunaona na kusikia siku wakija kuomba kura tutawauliza nyie hakikisheni uwazi tu kwenye...
Pengine kweli ni michezo, lkn unadhani nani mwenye jukumu la kuzima hiyo michezo?
Serikali inayochezewa namna hii (kama) haihusiki ni serikali iliyoshindwa?
Wewe upo nyumbani kwako mgeni aje ama mmoja miongoni mwa wanao hapo nyumbani kwako amfiche mwanao siku 3-10 amwachie Baba uchekelee eti...
Hapa ndipo ninapowashangaa wabongo wewe umeshajua ni maigizo na hupendi maigizo lkn bado unaangalia huku unalalamika kama umelazimishwa si ufanye ish nyingine, uendelee na maisha yako bila wwe au uangalie mpira ndio real maisha yasonge?
Kifupi huu ni ufupi wa mawazo, wivu na kijicho. Kutopenda...
Si vyema na wala si haki kumhukumu mtu au kumpa adhabu mtu kwa makosa ya mtu mwingine.
Yaani kama kaka yangu ni mwizi basi nisipate kazi sehemu yoyote sababu ipo siku atakuja ofisini kwangu ataiba? Kweli?
Umetoa hoja nyepesi eti hao ndio watu wa karibu na maisha ya watoto wako ndugu Watu...
Sasa kama nikifa ndio mwisho huo wema nafanya kwa manufaa gani? Kuna haja gani ya wema?
Uwepo wa viumbe na dunia/ulimwengu kuna nadharia kubwa mbili ya kisayansi na ya uumbaji (hapa ndipo kuna Mungu na Shetani)
Kwa usomaji na mafundisho niliyopitia nadharia zote mbili hazijitoshelezi hasa ya...
Ukitaka kuelewa vizuri anza nyuma kidogo anaanza kwa kusema 'napata tabu Sana kumjibu rostam hapaswi kuongelea personal issues huko tulishavuka anakuwa mzuri kwenye uchumi ajielekeze huko,
Kwa lugha rahisi ni kuwa yeye membe na aziz wabaki kuwa washauri na sio wagombea tena au wakuchagua nani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.