Vi rendra
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 3,259
- 5,573
Mi nilijua kila ukienda clinic wanakutumbukizaHautishwi mdogo wangu. Tena Yakikufika ndio utakwenda kupanda mwenyewe kitandani na kuomba wakupime kama njia imeshafunguka ili uende kunakohusika ukamshushe mwanao.
Haikwepeki hiyo labda kama asemavyo mleta uzi kuje mbadala.