Dr Mumbi: IMF met Magufuli and admitted the report on Tanzania's economy half baked

Biashara zilizpfingwa ni 16,400, na zilizofunguliwa ni 143,000, waziri ametoa hiyo idadi, mbona unamnukuu waziri upande mmoja?.

Hivi duniani watu hawafii?, mbona bado idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka pamoja na kwamba kuna watu wanakufa?.

Mkuu usije ukawa unachukua takwimu za wamachinga wa vitambulisho.

Maana hali ni tete mitaani sisi tunaona kama watawala wanatubeza kwa maana kama kuna hali mbaya , Ukosefu wa ajira zaidi ya 70% ya wizara za JMT zimepata pesa za bajeti ya mwaka 2017/18 kwa chini 50%. hospitali hakuna dawa na vifaa na watu kulazimishwa kujiunga na Bima ya Afya.

Halafu tunazozana kwamba uchumi unakuwa kwa 7+% na ni kati ya nchi 5 bora kwa uchumi.

Kweli!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mkuu usije ukawa unachukua takwimu za wamachinga wa vitambulisho.

Maana hali ni tete mitaani sisi tunaona kama watawala wanatubeza kwa maana kama kuna hali mbaya , Ukosefu wa ajira zaidi ya 70% ya wizara za JMT zimepata pesa za bajeti ya mwaka 2017/18 kwa chini 50%. hospitali hakuna dawa na vifaa na watu kulazimishwa kujiunga na Bima ya Afya.

Halafu tunazozana kwamba uchumi unakuwa kwa 7+% na ni kati ya nchi 5 bora kwa uchumi.

Kweli!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kaka wewe unatumia statistics zinazotolewa na vyombo vya kitaalamu au unatumia uzoofu wako unavyoyaona mambo mtaani?.

Sio vizuri kutumia uzoefu wako, kwasababu ukimuuliza mwenzako ambaye kwa yeye mambo yake ni mazuri, atakuambia tofauti na wewe unavyoyaona mambo huko mtaani.

Njia pekee ni kupata data za kitaalamu zinazotolewa na mashirika huru ya ndani na nje ya nchi, yaliyobobea katika maeneo husika, miongoni mwa mashirika hayo ni REPOA, IMF na WB, na ndio hayo yanayozungumzia 7%. Kama una data tofauti tuonyeshe ili tujifunze toka kwako.
 
miongoni mwa mashirika hayo ni REPOA, IMF na WB, na ndio hayo yanayozungumzia 7%. Kama una data tofauti tuonyeshe ili tujifunze toka kwako.

Kaka ,mbona unajichanganya?

IMF ndiyo hiyo inasema uchumi wetu ulikuwa 7% na kwali ilivyo utashuka mpaka 4-3%.

Kuhusu maisha mitaani labda wewe unaishi mbinguni.

Sikiliza Bro. Source kubwa ya kuzungusha uchumia ni ajira na kilimo.

Toka alipoingia uongozini hajaajiri walimu mpaka 2018. Mzunguko pesa upo wapi sasa.

Watu hawajaelewa Kufungwa kwa biashara/maduka si matokeo ya makodi ya kukomoana pia ni matokeo ya wenye biashara kukosa wateja wa kununua kwa sababu watu hawana kazi /ajira na hawana pesa.

Ni kweli ukienda NMB,NBC hali ni tete.

Sasa hata serikalini hali ni tete kama wizara zinapata chini zaidi ya 50% ya mahitaji yao, kuna pesa hapo?

Tuwe watu wa kufikiria sawasawa.

Tunafedha za kununua dagaa ili tulale na kesho tuamke.
 
Kaka ,mbona unajichanganya?

IMF ndiyo hiyo inasema uchumi wetu ulikuwa 7% na kwali ilivyo utashuka mpaka 4-3%.

Kuhusu maisha mitaani labda wewe unaishi mbinguni.

Sikiliza Bro. Source kubwa ya kuzungusha uchumia ni ajira na kilimo.

Toka alipoingia uongozini hajaajiri walimu mpaka 2018. Mzunguko pesa upo wapi sasa.

Watu hawajaelewa Kufungwa kwa biashara/maduka si matokeo ya makodi ya kukomoana pia ni matokeo ya wenye biashara kukosa wateja wa kununua kwa sababu watu hawana kazi /ajira na hawana pesa.

Ni kweli ukienda NMB,NBC hali ni tete.

Sasa hata serikalini hali ni tete kama wizara zinapata chini zaidi ya 50% ya mahitaji yao, kuna pesa hapo?

Tuwe watu wa kufikiria sawasawa.

Tunafedha za kununua dagaa ili tulale na kesho tuamke.
Kaka twende taratibu, ni kweli kwamba uchumi wetu umeendelea kukua kwa wastani wa 7% kwa zaidi ya miaka 12 sasa, hii ni kwa mujibu wa mashirika yote hayo niliyokutajia. IMF ndiyo iliyosema huenda uchumi ukakua kwa 4% mwaka huu. WB, REPOA na African Development Bank bado wao wanaamini uchumi utakua kwa 7%, tusubiri tuone.

Kuhusu kufungwa kwa biashara, waziri husika ametoa statistics zinazoonyesha kwamba biashara 16,000 zimefungwa, na zilizofunguliwa ni 140,000. Kama wewe una source tofauti tuambieni tujifunze.

Kuhusu hayo mengine unayozungumza kwa jinsi unavyoona wewe, hayo ni maoni yako ambayo kimsingi ni haki yako, lakini kwasababu hayana uthibitisho wa kitaalamu, ni ngumu kushawishi watu wanaojitambua
 
Kuhusu kufungwa kwa biashara, waziri husika ametoa statistics zinazoonyesha kwamba biashara 16,000 zimefungwa, na zilizofunguliwa ni 140,000. Kama wewe una source tofauti tuambieni tujifunze.

Takwimu za mawaziri wa CCM wanaogopa kutumbuliwa mimi nilishakataa kuziamini siku njingi kwa sababu ni za kisiasa.

Ni kweli na mimi ninaamini mashirika hayo ispokuwa REPOA hawa si ni kama wale Twaweza waliokuwa wakitumika kisiasa?

Kuhusu maisha magumu naumasikini ni uzembe kusubiri eti shirika lije kukufanyia utafiti.

Kuna factor ambazo haziitaji utafiti zikionekana tu ni dalili tosha ya umasikini na kuporomoka kwa uchumi na maisha kwa ujumla Bro..

Ukosefu wa ajira. Hata kukiwa na uhitaji wa wafanyakazi na serikali kokosa pesa za kuajili.
Kuporomoka kwa uchumi - from 7% to 4%
Huduma duni za Elimu
Afya nk.
 
Takwimu za mawaziri wa CCM wanaogopa kutumbuliwa mimi nilishakataa kuziamini siku njingi kwa sababu ni za kisiasa.

Ni kweli na mimi ninaamini mashirika hayo ispokuwa REPOA hawa si ni kama wale Twaweza waliokuwa wakitumika kisiasa?

Kuhusu maisha magumu naumasikini ni uzembe kusubiri eti shirika lije kukufanyia utafiti.

Kuna factor ambazo haziitaji utafiti zikionekana tu ni dalili tosha ya umasikini na kuporomoka kwa uchumi na maisha kwa ujumla Bro..

Ukosefu wa ajira. Hata kukiwa na uhitaji wa wafanyakazi na serikali kokosa pesa za kuajili.
Kuporomoka kwa uchumi - from 7% to 4%
Huduma duni za Elimu
Afya nk.
Sasa wewe unataka tuzungumze bila statistics, hayo ni mazungumzo ya kijiweni kwasababu kila mtu atazungumza toka kichwa yake. Nimekupa data za Serikali kuhusu kufungwa kwa biashara, nikakuambia kama una source tofauti tuwekee ili tujifunze kitu kipya, sikusema lazima uziamini, matokeo yake hizi za serikali unazikataa, lakini huna data za kutuonyesha ili tukuamini, kama huna data nyamaza.

Kuhusu kukua kwa Uchumi, IMF wanasema huenda uchumi mwaka huu utakua kwa 4%. World Bank na African Development Bank wanasema utakua kwa asilimia 7%, wawili kwa mmoja, wewe umeamua kumsikiliza mmoja, hicho ni kichekesho.

Kwangu Mimi na huku tunakoishi tunaona maisha yetu yamebadilika sana, watoto wanasoma bure, tumejengewa kituo cha Afya na kimewekewa vifaa vya upasuaji, umeme umefikishwa, barabara wanakamilisha kuweka lami mwaka huu, miradi ya maji ipo katika hatua za mwisho, karibu nusu yetu tuna bima ya Afya, wewe unaishi nchi gani?, rudi nyumbani kumenoga acha lawama zisizokua na msingi.
 
Its very funny! So when you meet him you admit....!!! When you don't meet him figures speaks for themselves! Hahahaaaaaa!!!
 
Kaka twende taratibu, ni kweli kwamba uchumi wetu umeendelea kukua kwa wastani wa 7% kwa zaidi ya miaka 12 sasa, hii ni kwa mujibu wa mashirika yote hayo niliyokutajia. IMF ndiyo iliyosema huenda uchumi ukakua kwa 4% mwaka huu. WB, REPOA na African Development Bank bado wao wanaamini uchumi utakua kwa 7%, tusubiri tuone.

Kuhusu kufungwa kwa biashara, waziri husika ametoa statistics zinazoonyesha kwamba biashara 16,000 zimefungwa, na zilizofunguliwa ni 140,000. Kama wewe una source tofauti tuambieni tujifunze.

Kuhusu hayo mengine unayozungumza kwa jinsi unavyoona wewe, hayo ni maoni yako ambayo kimsingi ni haki yako, lakini kwasababu hayana uthibitisho wa kitaalamu, ni ngumu kushawishi watu wanaojitambua
Ndugu tuweke blind patriotism pembeni kisa tu tupo jukwaa la Kenya. Unless wewe ni wale wanaokula mema ya nchi, hali mtaani ni ngumu na pita kote watakuambia kuwa mzunguko wa pesa umekuwa mdogo...

Pitia data zote utaona kuwa tokea new regime iingie uchumi umekuwa ukikua at decreasing rates. Means ulikuwa unakuwa lakini sio kwa kasi iliyokuwepo. Mimi sipo against new regime maana yawezekana contractionary policies zao wanazitumia kuurekebisha uchumi ambao uligubikwa na black market. It's not a bad thing at all lakini vipi kwa aspects nyingine brother

Kwenye budget yoyote ya nchi ni vyema kuwa na recurrent expenditures kubwa kuliko development budget. Angalia kwetu, most recurrent expenditures huenda kwenye mishahara ambayo kwa mwaka wa ngapi huu haijaongezwa ??... wangapi wamepanda madaraja ???... wangapi wameajiriwa ??...

Moja ya vyanzo vikuu vya mapato ni kodi na mojawapo ni P.A.Y.E je, kwa mishahara hii na ajira, level ya PAYE ni kiasi gani mzee na je huoni kama hii tendency ina impact haswaaa ukizingatia multplier effect katika simple macro-economics. Mbona vitu vingine vipo obvious !!!... contractiomary policies na kukuza uchumi wapi na wapi ???.....
 
Ndugu tuweke blind patriotism pembeni kisa tu tupo jukwaa la Kenya. Unless wewe ni wale wanaokula mema ya nchi, hali mtaani ni ngumu na pita kote watakuambia kuwa mzunguko wa pesa umekuwa mdogo...

Pitia data zote utaona kuwa tokea new regime iingie uchumi umekuwa ukikua at decreasing rates. Means ulikuwa unakuwa lakini sio kwa kasi iliyokuwepo. Mimi sipo against new regime maana yawezekana contractionary policies zao wanazitumia kuurekebisha uchumi ambao uligubikwa na black market. It's not a bad thing at all lakini vipi kwa aspects nyingine brother

Kwenye budget yoyote ya nchi ni vyema kuwa na recurrent expenditures kubwa kuliko development budget. Angalia kwetu, most recurrent expenditures huenda kwenye mishahara ambayo kwa mwaka wa ngapi huu haijaongezwa ??... wangapi wamepanda madaraja ???... wangapi wameajiriwa ??...

Moja ya vyanzo vikuu vya mapato ni kodi na mojawapo ni P.A.Y.E je, kwa mishahara hii na ajira, level ya PAYE ni kiasi gani mzee na je huoni kama hii tendency ina impact haswaaa ukizingatia multplier effect katika simple macro-economics. Mbona vitu vingine vipo obvious !!!... contractiomary policies na kukuza uchumi wapi na wapi ???.....
Ni mwaka gani bajeti za wizara zilifikia 100%!!!

Mimi napenda watu wa fact.
 
Ndugu tuweke blind patriotism pembeni kisa tu tupo jukwaa la Kenya. Unless wewe ni wale wanaokula mema ya nchi, hali mtaani ni ngumu na pita kote watakuambia kuwa mzunguko wa pesa umekuwa mdogo...

Pitia data zote utaona kuwa tokea new regime iingie uchumi umekuwa ukikua at decreasing rates. Means ulikuwa unakuwa lakini sio kwa kasi iliyokuwepo. Mimi sipo against new regime maana yawezekana contractionary policies zao wanazitumia kuurekebisha uchumi ambao uligubikwa na black market. It's not a bad thing at all lakini vipi kwa aspects nyingine brother

Kwenye budget yoyote ya nchi ni vyema kuwa na recurrent expenditures kubwa kuliko development budget. Angalia kwetu, most recurrent expenditures huenda kwenye mishahara ambayo kwa mwaka wa ngapi huu haijaongezwa ??... wangapi wamepanda madaraja ???... wangapi wameajiriwa ??...

Moja ya vyanzo vikuu vya mapato ni kodi na mojawapo ni P.A.Y.E je, kwa mishahara hii na ajira, level ya PAYE ni kiasi gani mzee na je huoni kama hii tendency ina impact haswaaa ukizingatia multplier effect katika simple macro-economics. Mbona vitu vingine vipo obvious !!!... contractiomary policies na kukuza uchumi wapi na wapi ???.....
Inflation imeshuka toka 7% hadi 3.1% na mshahara haujakatwa.
 
Ni mwaka gani bajeti za wizara zilifikia 100%!!!

Mimi napenda watu wa fact.
Umenukuu sehemu gani ya andiko langu ???.. Hakuna sehemu nimesema kuhusu implementation ya bajeti nchini na kama ni mtu unaejua kuwa bajeti ni projections ya mapato na matumizi ya mwaka husika bhasi usingeniuliza swali kama hilo kwa uchumi wa Tanzania ambao unategemea misaada ya nje ili kuiwezesha bajeti yake
 
Inflation imeshuka toka 7% hadi 3.1% na mshahara haujakatwa.
Ndugu yangu.. miradi baadhi inatekelezwa na asasi za kiserikali, wameajiri watu kwa uchache kupita kiasi, mishahara haijaongezwa na bado hata madaraja hawajapandishwa. Huoni kwamba ni automatic kuwa pesa itabaki serikalini na kuachiwa kidogo katika mzunguko wa wananchi, baada ya hapo ni nini kama sio purchasing power kushuka na ikishashuka unategemea inflation ipande !!!!!......

By the way inflation sio mbaya kwa kiasi chote, kuongezeka kwa inflation husaidia wazalishaji kama wafanyabiashara na wakulima kuwa motivated kuzalisha kutokana na prices za bidhaa zao kuwa juu. Au hujui kuwa inflation inaposhuka sana huwakatisha tamaa wazalishaji ???.... This is another case that needs a separate discussion

I'm not against the current regime moves and im not with the online whistle blowers. I'm just a person who try to see the situation as it is
 
Kaka twende taratibu, ni kweli kwamba uchumi wetu umeendelea kukua kwa wastani wa 7% kwa zaidi ya miaka 12 sasa, hii ni kwa mujibu wa mashirika yote hayo niliyokutajia. IMF ndiyo iliyosema huenda uchumi ukakua kwa 4% mwaka huu. WB, REPOA na African Development Bank bado wao wanaamini uchumi utakua kwa 7%, tusubiri tuone.

Kuhusu kufungwa kwa biashara, waziri husika ametoa statistics zinazoonyesha kwamba biashara 16,000 zimefungwa, na zilizofunguliwa ni 140,000. Kama wewe una source tofauti tuambieni tujifunze.

Kuhusu hayo mengine unayozungumza kwa jinsi unavyoona wewe, hayo ni maoni yako ambayo kimsingi ni haki yako, lakini kwasababu hayana uthibitisho wa kitaalamu, ni ngumu kushawishi watu wanaojitambua
Tuonyeshe ripoti ya 2019 ambayo WB inasema Bongo tunakuwa kwa 7% 😂
 
Inflation imeshuka toka 7% hadi 3.1% na mshahara haujakatwa.
Another thing. Mshahara wa bongo wengi haiwatoshelezi ndo maana kukawa na mishe za town yaani mtu kupiga extra income from the black market.. Hili soko limeminywa na watu kwa sasa wanategemea mshahara ambao in reality hauwatoshelezi.
 
Biashara zilizpfingwa ni 16,400, na zilizofunguliwa ni 143,000, waziri ametoa hiyo idadi, mbona unamnukuu waziri upande mmoja?.

Hivi duniani watu hawafii?, mbona bado idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka pamoja na kwamba kuna watu wanakufa?.
Unapokula na kipofu usimguse mkono!v sijui wenye misemo walimaanisha nini
 
Ndugu tuweke blind patriotism pembeni kisa tu tupo jukwaa la Kenya. Unless wewe ni wale wanaokula mema ya nchi, hali mtaani ni ngumu na pita kote watakuambia kuwa mzunguko wa pesa umekuwa mdogo...

Pitia data zote utaona kuwa tokea new regime iingie uchumi umekuwa ukikua at decreasing rates. Means ulikuwa unakuwa lakini sio kwa kasi iliyokuwepo. Mimi sipo against new regime maana yawezekana contractionary policies zao wanazitumia kuurekebisha uchumi ambao uligubikwa na black market. It's not a bad thing at all lakini vipi kwa aspects nyingine brother

Kwenye budget yoyote ya nchi ni vyema kuwa na recurrent expenditures kubwa kuliko development budget. Angalia kwetu, most recurrent expenditures huenda kwenye mishahara ambayo kwa mwaka wa ngapi huu haijaongezwa ??... wangapi wamepanda madaraja ???... wangapi wameajiriwa ??...

Moja ya vyanzo vikuu vya mapato ni kodi na mojawapo ni P.A.Y.E je, kwa mishahara hii na ajira, level ya PAYE ni kiasi gani mzee na je huoni kama hii tendency ina impact haswaaa ukizingatia multplier effect katika simple macro-economics. Mbona vitu vingine vipo obvious !!!... contractiomary policies na kukuza uchumi wapi na wapi ???.....
Tatizo ninalopinga ni kupunguza kwa ujumla bila data, tabia hii ya kusema " kila unapopita watu wanalalamika", hii ni hoja dhahifu sana, mbona Mimi nikisema huku niliko sioni watu wanaolalamika hutaki kuniamini, lakini unataka Mimi nikuamini wewe?. Ndio sababu nikasema lete hoja yenye ushahidi. Hoja ya kusema "labda wewe ni wale wanaofaidia na mfumo huu", ninaweza kuijibu kwa kusema" labda wewe ni miongoni mwa nafisadi waliokua wakifaidia na uzembe wa serikali zilizopita".

Ili kupunguza kushutumiana na kuona labda kinachosemwa na mwengine hakina uhalisia, ni bora kutumia ushahidi, hasa ushahidi wa namba. Kwa mfano, tulinganishe ukuaji wa uchumi katika kipindi cha mwisho cha miaka mitatu ya mwisho, na miaka mitatu ya Magufuli, inflation, ukusanyaji wa mapato, FDI, jobs creation, na Huduma za kijamii. Tusipolinganisha kwa kutumia data kutoka reliable sources, basi hakutokua na muafaka, kwasababu kila mtu anayaona maisha kwa upeo wake.
 
Tatizo ninalopinga ni kupunguza kwa ujumla bila data, tabia hii ya kusema " kila unapopita watu wanalalamika", hii ni hoja dhahifu sana, mbona Mimi nikisema huku niliko sioni watu wanaolalamika hutaki kuniamini, lakini unataka Mimi nikuamini wewe?. Ndio sababu nikasema lete hoja yenye ushahidi. Hoja ya kusema "labda wewe ni wale wanaofaidia na mfumo huu", ninaweza kuijibu kwa kusema" labda wewe ni miongoni mwa nafisadi waliokua wakifaidia na uzembe wa serikali zilizopita".

Ili kupunguza kushutumiana na kuona labda kinachosemwa na mwengine hakina uhalisia, ni bora kutumia ushahidi, hasa ushahidi wa namba. Kwa mfano, tulinganishe ukuaji wa uchumi katika kipindi cha mwisho cha miaka mitatu ya mwisho, na miaka mitatu ya Magufuli, inflation, ukusanyaji wa mapato, FDI, jobs creation, na Huduma za kijamii. Tusipolinganisha kwa kutumia data kutoka reliable sources, basi hakutokua na muafaka, kwasababu kila mtu anayaona maisha kwa upeo wake.
Okey mzee sorry kwa personal attack lakini ukweli tuuangalie..

Kwanza uchumi haujaanguka bali ni mdororo tu wa kiasi ambao hauwezi kuleta impact kubwa kwa kila section ya population. Watu wanaoumia zaidi ni wa hali ya chini zaidi kwa kuwa wao hata shilingi 1000 inaathiri well being yao.
Niliipitia report ya IMF na kiukweli walionesha forecasts zao na sababu zake ambazo nyingi ni za kweli. Kwa akili ya kawaida huwezi kuniambia new regime inatumia expansionary fiscal policies ambazo ndizo hukuza uchumi na kama haitumii bhasi wanatumia contractionary policies ambazo huuminya uchumi.

Soma comments zangu vizuri utaelewa.. there was no way uchumi wetu ukue kuliko bwana mkubwa alivyouacha maana katika new regime kumekuwa na ukuaji wa uchumi kwa decreasing rates na contractionary na unpredictable policies, how on earth tungeweza kuendelea kukua at 7%. Unless uje na Facts ntakuelewa

Im not here to argue. Lets discuss
 
Okey mzee sorry kwa personal attack lakini ukweli tuuangalie..

Kwanza uchumi haujaanguka bali ni mdororo tu wa kiasi ambao hauwezi kuleta impact kubwa kwa kila section ya population. Watu wanaoumia zaidi ni wa hali ya chini zaidi kwa kuwa wao hata shilingi 1000 inaathiri well being yao.
Niliipitia report ya IMF na kiukweli walionesha forecasts zao na sababu zake ambazo nyingi ni za kweli. Kwa akili ya kawaida huwezi kuniambia new regime inatumia expansionary fiscal policies ambazo ndizo hukuza uchumi na kama haitumii bhasi wanatumia contractionary policies ambazo huuminya uchumi.

Soma comments zangu vizuri utaelewa.. there was no way uchumi wetu ukue kuliko bwana mkubwa alivyouacha maana katika new regime kumekuwa na ukuaji wa uchumi kwa decreasing rates na contractionary na unpredictable policies, how on earth tungeweza kuendelea kukua at 7%. Unless uje na Facts ntakuelewa

Im not here to argue. Lets discuss
Ninarudia tena, ili kupunguza kushutumiana, na kutumia Maneno mengi, tutumie namba ili kupima, tuchague viashiria (Indicators) tano, ambazo zinapimika kwa namba(Quantitative indicators), tulinganishe miaka mitatu ya mwisho ya utawala wa Kikwete na miaka mitatu ya Magufuli. Ninapendekeza 1) Ukuaji wa Uchumi, 2) Mfumuko wa bei 3)Ukusanyaji wa mapato ya Serikali. Na wewe chagua tatu ili tulinganishe
 
Back
Top Bottom