Mbowe tangu abadili gear angani basi akibadili na tabia zetu wana UKAWA. Hivi UKAWA leo ni wa kutetetea watu kusimamishwa wakati walilia lia na serikali "dhaifu" iliyopita. Kweli Punda yake mateke
Ukawa kama demu vile! EL alipokuwa anapekeka hela ugambani alikuwa anapondwa vibaya mno. Leo hii anataka apeleke nabilion kwao, ghafla kawa msafi. Nawashangaa sana wana ukawa wenye mentality kama hizi. Lazima tuwe na consistence kama tunauchukia ufisadi basi tuukemee hadi siku ya mwisho
Your very right my dear! ZZK is very right too. Hata hao kina slaa sio wakuwaamini 100%. Yuko wapi Amani Kaburu wa kigoma mjini. watu walimuabudu kama Mungu wa CDM. Alikihama chama watu wakapagawa. leo hii ni mwenyekiti wa CCM wa mkoa Kigoma anakula kuku kwa mrija. Kuweni makini na wanasiasa...
Jamani mie simshangai sana kabisa! Tena kwe elimu yetu ya kibongo na vyuo vinavyomea kila kukicha kama uyoga Hata bila walimu ili tu vipate pesa za bodi ya mkopo, si ajabu kuwa na first class ya madesa ambayo ni sawa na third class ya uhalisia. Mie nilishudia jinsi watu wawili awiliokua na first...
Siku yaja ambapo amani iliyotawara kwa miaka mingi itakua historia. Tutayakumbuka haya matukio yote kama vyanzo vya kupotea kwa amani yetu, tena wakati huo si mabli kama tutaendelea hivi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.