Buldoza
JF-Expert Member
- May 2, 2013
- 2,306
- 980
Ili mwanachama wa Chadema afukuzwe chamani, huwa anakuwa kakiuka mambo yapi yasiyoonyeka?
Msaliti, sehemu nyingine anauawa hadharani. Kama mnapanga mpango unaofadhiliwa na MaCCM, mnategemea mkishafanikiwa mtamtumikia nani?