Sifa za wanafunzi kulingana na vyuo

Sifa za wanafunzi kulingana na vyuo

Kama ni kweli kuna hatari huko tuendako na future yetu kama nchi
 
mbona st.joseph college cha dsm sijakiona.mdau mmoja wa maswala ya elimu aliniambia future and compitent computer programmers and engineers in tanzania watatokea pale.cos wale wakatoliki wamejipanga na wana facility za kutosha.so hicho chuo kinawekwa ktk kundi gani kwa mujibu wa mleta mada?
 
¤Sua, Muhas, Kcmc- Makini na Wajanja
Mzumbe- Matajiri na wenye Akili
¤Udsm- Watu wenye sifa mchanganyiko na jamii inawakubali
¤Cbe-dar- Malaya na wasiojiweza kiakili
¤Tumaini, Ardhi- Upeo mdogo wa kufikiri na watoto wa Mama
¤Ruco- Wajinga kwa waliokosa vyuo kabisa
¤Udom- Waliokosa nafasi Udzm na wanaipenda ingawa wanaipondea
¤Sauti,Ustawi, Mwl Nyerere, Muccobs, Cbe-dom- Wasiojua Future Zao
¤Iaa- Wenye uwezo ila walifeli form six
¤Mipango, Zanzibar, St.john, Moro Muslim- Wasiofahamu umuhimu wa elemu, hapa vilaza wamejaa kaa Nyota
¤Lpcuco- Majigambo kibao hamna cha maana kazi kujipraudi tu
¤Ifm- Kwa mademu wa ukweli

Ulaaniwe ugongwe na gari ufirie kwa mbali!
 
¤Sua, Muhas, Kcmc- Makini na Wajanja
Mzumbe- Matajiri na wenye Akili
¤Udsm- Watu wenye sifa mchanganyiko na jamii inawakubali
¤Cbe-dar- Malaya na wasiojiweza kiakili
¤Tumaini, Ardhi- Upeo mdogo wa kufikiri na watoto wa Mama
¤Ruco- Wajinga kwa waliokosa vyuo kabisa
¤Udom- Waliokosa nafasi Udzm na wanaipenda ingawa wanaipondea
¤Sauti,Ustawi, Mwl Nyerere, Muccobs, Cbe-dom- Wasiojua Future Zao
¤Iaa- Wenye uwezo ila walifeli form six
¤Mipango, Zanzibar, St.john, Moro Muslim- Wasiofahamu umuhimu wa elemu, hapa vilaza wamejaa kaa Nyota
¤Lpcuco- Majigambo kibao hamna cha maana kazi kujipraudi tu
¤Ifm- Kwa mademu wa ukweli

sio kila aliyeko jamii forum ni grt thinker wengine ni vilaza kama huyu
hivyo vyuo mnavyovipondea watu wanakula mishahara saii,kwenye ajira kama huna refa au una gpa mbovu hata kama ukimaliza chuo gan utavuta ndala
 
¤Sua, Muhas, Kcmc- Makini na Wajanja
Mzumbe- Matajiri na wenye Akili
¤Udsm- Watu wenye sifa mchanganyiko na jamii inawakubali
¤Cbe-dar- Malaya na wasiojiweza kiakili
¤Tumaini, Ardhi- Upeo mdogo wa kufikiri na watoto wa Mama
¤Ruco- Wajinga kwa waliokosa vyuo kabisa
¤Udom- Waliokosa nafasi Udzm na wanaipenda ingawa wanaipondea
¤Sauti,Ustawi, Mwl Nyerere, Muccobs, Cbe-dom- Wasiojua Future Zao
¤Iaa- Wenye uwezo ila walifeli form six
¤Mipango, Zanzibar, St.john, Moro Muslim- Wasiofahamu umuhimu wa elemu, hapa vilaza wamejaa kaa Nyota
¤Lpcuco- Majigambo kibao hamna cha maana kazi kujipraudi tu
¤Ifm- Kwa mademu wa ukweli

umeibadilisha hyo Sua ni ya washamba but wenye ucongo na elimu
 
Hahaha na huyu m2 anajitiita great thinker 2we 2nafkiria sio kuandika ujinga 2
 
hey man no research no right to speak.ucponde vyuo vya wa2 bila evidence na kama unayo 2oneshe.na kaa ujue kuxoma chuo o kozi nzuri cio itakayo kupa ww kazi.
 
Me nimesoma cbe procurement ninafanya mitihan ya bodi,nimekimbiza mbaya waliotoka mzumbe wanajua,so siyo wote cbe ni vilaza dogo
 
Mimtu mingine bwana cjui ikoje ishajiona masparo.
 
Somethn must be wrong kwa mtoa mada,shame on U!
 
Mleta mada mwenyewe umechaguliwa wapi? Utakuwa Mzumbe eti?
 
Back
Top Bottom