Recent content by ulongo

  1. ulongo

    Kutoka Mahakamani: Freeman Mbowe na wenzake watatu wamekana mashtaka yao sita yanayowakabili

    Yamkini hata hujui leo utakula nini yaani umasikini wa pesa umeingia hadi kichwani
  2. ulongo

    Nahitaji mzani mkubwa

    Kama kichwa kinavyojieleza kama unamzani mkubwa namaanisha ile ya kupimia kilo 100 na kuendelea njoo chemba tuyajenge nipo DAR ES SALAAM
  3. ulongo

    KCB inapanga kununua Benki moja Tanzania na nyingine Rwanda

    NMB serikal ina 20% hisa 80% ni ya wakaburu NBC ni ya wakaburu kaka yaani NBC NA ABSA/barclays Bosi ni moja mkaburu
  4. ulongo

    KCB inapanga kununua Benki moja Tanzania na nyingine Rwanda

    Kwani NMB na NBC Za kwetu unavyofikiria?
  5. ulongo

    Nimeachishwa kazi na sijalipwa posho stahiki; je, Tume ya Usuluhishi inaweza kunisaidia?

    Ishu sio fidia ila ile pesa ambayo sheria inataka upewe km umecheleweshwa kuhamishwa tu
  6. ulongo

    Nimeachishwa kazi na sijalipwa posho stahiki; je, Tume ya Usuluhishi inaweza kunisaidia?

    Sheria ya ajira inakutaka umrudishe mfanyakazi wako pale ulipomtoa bila kujali kwanini umemuachisha kazi mana kule sio kwake
  7. ulongo

    Naomba ushauri nifanyeje kuhusu kupata posho zangu baada ya kuachishwa kazi

    Kweli ni ndogo ila sio ndogo kihivyo mana hapo tinapozungimzia posho ni 70000@17=1,190,000 ujue nilikuwa ktk jiji Ushauri wako mzuri ila nilichokuwa napenda kujua ni kwamba hiyo sheria inamaanisha km nilivyoelewa mimi au hapana
  8. ulongo

    Naomba ushauri nifanyeje kuhusu kupata posho zangu baada ya kuachishwa kazi

    Wanajukwaa naomba ufafanuzi wa kitalaamu kwa wenye ufahamu kabla sijaenda TUME YA USULUHISHI WA AJIRA. Niliajiriwa na kampuni moja hapa Dar nikapewa mkataba nitafanya hiyo kazi kama miezi 10 baada ya hapo wakanipeleka mikoani nikafanya kazi huko kwa miaka 2 sasa nikaachishwa kazi huko baada ya...
  9. ulongo

    Nimeachishwa kazi na sijalipwa posho stahiki; je, Tume ya Usuluhishi inaweza kunisaidia?

    Wanajukwaa naomba ufafanuzi wa kitalaamu kwa wenye ufahamu kabla sijaenda TUME YA USULUHISHI WA AJIRA. Niliajiriwa na kampuni moja hapa Dar nikapewa mkataba nitafanya hiyo kazi kama miezi 10 baada ya hapo wakanipeleka mikoani nkafanya kazi huko kwa miaka 2 sasa nikaachishwa kazi huko baada ya...
  10. ulongo

    CCM: Tunafuatilia mienendo ya viongozi wetu wanaopotosha umma, kwenda kinyume na maelekezo ya Mwenyekiti wetu

    Danganya toto tu hiyo walikuwa wanaandaa mazingira ya kumpeleka Mbowe gerezani
  11. ulongo

    Niulize chochote kuhusu HESLB, NACTE na TCU

    Vyuo vingi qualification ya kujiunga na kozi ni point 4 ambzo ni principle 2 hapo ni hata ukiwa na D MBILI unafanya maombi ila hio kwa waliomaliza form six 2016 kuja huku
  12. ulongo

    Niulize chochote kuhusu HESLB, NACTE na TCU

    Kwani TCU inahusika na nni kwenye kuomba vyuo mwaka huu ukiachana na kitabu Chao cha mwongozo? Maombi yote yanafanywa direct ktk chuo huko TCU kaangalie mwongozo tu na labda kama umesoma nje ya nchi ndio nenda huko kuverify vyeti ila kama umesoma bongo wwe fanya application yavyuo mana hiyo ndio...
  13. ulongo

    Freeman Mbowe atuhumiwa kwa Ugaidi na kupanga njama za Kuua Viongozi wa Serikali

    Utakuwa na uwezo mdogo sana wa kufikiria kama na wewe unawaz ujinga huu waliofanya serikali ni wa maana labda kama unamanufaa nao ila ujue hawataishia kwa mbowe ila kwa wote watakaoenda kinyume nao hata walipo ndani ya systemu muulize Dialo
  14. ulongo

    Msaada: Interview za Cocacola Kwanza

    kama ni writen kisha nafas ya RAD soma soma ile ecomics two ya advance yote. soma sana priduction. demand and suply
Back
Top Bottom