KCB inapanga kununua Benki moja Tanzania na nyingine Rwanda

Kodi unalipia benki yeyote blaza hilo toka muda tu na kcb imeongezwa juzi tu hapo kabla ya hapo ulikua huwezi kulipa kodi za TRA kupitia KCB huo ni uwanja wangu hayo matango pori mlishane wenyewe.....na hizo kodi zinalipwa kwa kutumia control number na akaunti ya TRA ambayo haihusiani na bank yeyote .....hilo form hata kama limeandikwa kcb unaweza hata kwenda kulipia crdb,exim,nmb na wengine na hivohivo hata kama form imeandikwa benk ya kulipia ni NMB unaweza ukaenda nayo ukalipia hata kwenye tawi la kcb..........
 
NMB serikal ina 20% hisa 80% ni ya wakaburu
NBC ni ya wakaburu kaka yaani NBC NA ABSA/barclays Bosi ni moja mkaburu
Ila serikali ipo............hao wengine hata asilimia 0 wanayo? Serikali ina asilimia ngapi kcb? Hata hio kcb ukifatilia historia yake ilianzia zenji
 

Kenya ndio baba la Afrika Mashariki na Kati. Equity bank imenunua benki mbili DR congo. KCB ipo South Sudan na Ethiopia. KCB ipo Uganda na Tanzania. I&M inapanga kununua benki Uganda. Sasa KCB inapanga kununua benki Rwanda na Tanzania. Hakuna nchi hapa Afrika Mashariki ambayo hatujanunua benki kutoka kwao. Hakuna benki hapa EA ambayo ipo safe from Kenyan banks. Hivi karibuni benki zote ukanda huu zitamilikiwa na benki za Kenya​

KCB plans to acquire Rwandan and Tanzanian banks​

Kenyan commercial banks are looking beyond their borders for acquisitions.​

In Summary
• KCB will pay cash for the shares in the Rwandan bank, it said in a statement, to be computed using a price to book multiple of 1.09.
• It also aims to make an offer to the remaining shareholders to acquire more shares on the same terms as the 62 per cent already agreed, KCB said.
by REUTERS News

QHPmmLgf2qyBoilQLfzygraATzW9QzZH7OrKqWZqcpTVEeDNvxcplDCGnCCZr2H48PfAkECuwIkj7ATzqKYsQj9vphP6=s500

Kenya’s top lender by assets, KCB Group, plans to acquire 62.06 per cent in Banque Populaire du Rwanda and 100 per cent in African Banking Corporation Tanzania Limited, it said on Thursday.
Kenyan commercial banks are looking beyond their borders for acquisitions, seeking to tap growing opportunities in the wider East Africa region, driven by rapid economic growth and trade integration.
KCB will pay cash for the shares in the Rwandan bank, it said in a statement, to be computed using a price to book multiple of 1.09.

It also aims to make an offer to the remaining shareholders to acquire more shares on the same terms as the 62 per cent already agreed, KCB said.
In the ABC Tanzania deal, KCB will also pay cash, using a price-to-book multiple of 0.42, the group said.
Both transactions are still subject to various approvals including those of regulators in all three markets, KCB said. (Reporting by Duncan Miriri; Editing by Clarence Fernandez)
Siku zote inasemwa alalae usimwamshe
 
Kodi unalipia benki yeyote blaza hilo toka muda tu na kcb imeongezwa juzi tu hapo kabla ya hapo ulikua huwezi kulipa kodi za TRA kupitia KCB huo ni uwanja wangu hayo matango pori mlishane wenyewe.....na hizo kodi zinalipwa kwa kutumia control number na akaunti ya TRA ambayo haihusiani na bank yeyote .....hilo form hata kama limeandikwa kcb unaweza hata kwenda kulipia crdb,exim,nmb na wengine na hivohivo hata kama form imeandikwa benk ya kulipia ni NMB unaweza ukaenda nayo ukalipia hata kwenye tawi la kcb..........

Hadi raha na bado mtakoma tu.
 
Ila serikali ipo............hao wengine hata asilimia 0 wanayo? Serikali ina asilimia ngapi kcb? Hata hio kcb ukifatilia historia yake ilianzia zenji
Sio kweli. KCB historia yake Ilianzia India kisha ikaja Kenya. Ilikuja Kenya na ikawa benki ya kwanza Kenya na hio ilifanyika zaidi ya miaka mia moja iliopita. KCB haikuanzia Zenji.
 
Sio kweli. KCB historia yake Ilianzia India kisha ikaja Kenya. Ilikuja Kenya na ikawa benki ya kwanza Kenya na hio ilifanyika zaidi ya miaka mia moja iliopita. KCB haikuanzia Zenji.

Kuna kitu wamekianzisha kwao huko wanakiita TCB ila kimebuma kushahibiana na KCB.
 
Kuna kitu wamekianzisha kwao huko wanakiita TCB ila kimebuma kushahibiana na KCB.
Kushahibiana na hii KCB (T) hii kwa bongo ni another mediocre bank tu kama bank nyingine utopolo za huku bora kidogo hata hao equity kwa huku........TCB mshindani wake akijikwamua sana watakua wakina NMB na CRDB ila sio hako ka kcb
 

Kenya ndio baba la Afrika Mashariki na Kati. Equity bank imenunua benki mbili DR congo. KCB ipo South Sudan na Ethiopia. KCB ipo Uganda na Tanzania. I&M inapanga kununua benki Uganda. Sasa KCB inapanga kununua benki Rwanda na Tanzania. Hakuna nchi hapa Afrika Mashariki ambayo hatujanunua benki kutoka kwao. Hakuna benki hapa EA ambayo ipo safe from Kenyan banks. Hivi karibuni benki zote ukanda huu zitamilikiwa na benki za Kenya​

KCB plans to acquire Rwandan and Tanzanian banks​

Kenyan commercial banks are looking beyond their borders for acquisitions.​

In Summary
• KCB will pay cash for the shares in the Rwandan bank, it said in a statement, to be computed using a price to book multiple of 1.09.
• It also aims to make an offer to the remaining shareholders to acquire more shares on the same terms as the 62 per cent already agreed, KCB said.
by REUTERS News

QHPmmLgf2qyBoilQLfzygraATzW9QzZH7OrKqWZqcpTVEeDNvxcplDCGnCCZr2H48PfAkECuwIkj7ATzqKYsQj9vphP6=s500

Kenya’s top lender by assets, KCB Group, plans to acquire 62.06 per cent in Banque Populaire du Rwanda and 100 per cent in African Banking Corporation Tanzania Limited, it said on Thursday.
Kenyan commercial banks are looking beyond their borders for acquisitions, seeking to tap growing opportunities in the wider East Africa region, driven by rapid economic growth and trade integration.
KCB will pay cash for the shares in the Rwandan bank, it said in a statement, to be computed using a price to book multiple of 1.09.

It also aims to make an offer to the remaining shareholders to acquire more shares on the same terms as the 62 per cent already agreed, KCB said.
In the ABC Tanzania deal, KCB will also pay cash, using a price-to-book multiple of 0.42, the group said.
Both transactions are still subject to various approvals including those of regulators in all three markets, KCB said. (Reporting by Duncan Miriri; Editing by Clarence Fernandez)
Sishangai sana kwa maneno yako, miongoni mwa benki kubwa za Tanzania CRDB imepata mizengwe mingi sana kufungua tawi kenya, wafanyabiashara wengi wa Tanzania wenye mitaji mikubwa wamewekewa mizengwe mingi kuanzisha biashara kenya, wakenya kuja na kufanya biashara na kazi yoyote Tanzania hamna anayewawekea mizengwe mmejazana mpaka kwenye maduka ya rejareja, TIME WILL TELL, YOU WILL KNOW WHY YOUR FOLLY
 
Sio kweli. KCB historia yake Ilianzia India kisha ikaja Kenya. Ilikuja Kenya na ikawa benki ya kwanza Kenya na hio ilifanyika zaidi ya miaka mia moja iliopita. KCB haikuanzia Zenji.
National bank of India kwa Afrika mashariki walianzia Zenji ndo baadae wakafungua branch Mombasa......kama hutaki jipige dole nusa kalale
Screenshot_20210908-063011_Samsung Internet.jpg
Screenshot_20210908-063355_Samsung Internet.jpg
 
Sishangai sana kwa maneno yako, miongoni mwa benki kubwa za Tanzania CRDB imepata mizengwe mingi sana kufungua tawi kenya, wafanyabiashara wengi wa Tanzania wenye mitaji mikubwa wamewekewa mizengwe mingi kuanzisha biashara kenya, wakenya kuja na kufanya biashara na kazi yoyote Tanzania hamna anayewawekea mizengwe mmejazana mpaka kwenye maduka ya rejareja, TIME WILL TELL, YOU WILL KNOW WHY YOUR FOLLY
Umeanza Xenophobia sio? Unataka kuchochea ili Wakenya wapigwe huko Tanzania sio?
 
Uwekezaji ni ruksa kabisa Tanzania, kikubwa ni kimoja tuu kwamba vigezo na masharti vizingatiwe
benk yenyewe ilishajifia, ni sawa na yalipoingia kichwakichwa kununua hisa za precission air, kwetu hii ni faida maana benki hii haikuwepo njooni tuvune kamtaji mlikonako
 
Kwani kununua bank inababatilisha ukweli kwamba uchumi wa Kenya wa makaratasi?
mkuu tuwaelimishe, hajui kwamba KCB ni jina tu serikali ya kenya pamoja na wakenya hisa zao/umiliki wao katika benki hii haufiki hata robo .HAHAHAHA
 
mkuu tuwaelimishe, hajui kwamba KCB ni jina tu serikali ya kenya pamoja na wakenya hisa zao/umiliki wao katika benki hii haufiki hata robo .HAHAHAHA
Alisikika akisema mganga mmoja kutoka Lazyland Republic.
 
Back
Top Bottom