Yaaan nilipita hapa mrombo soko la kawaida tu,nje ya mji tena ni la watu wa kawaida sio wauzaji wa jumla na mnada wa mbuzi eti amepewa mchina ndo anajenga ,nilishika kichwa kwa mshangao ! Soko tu la kawaida eti mchina
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.