Recent content by uhuru tech

  1. U

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania WANAUME: Zipi ni turn-offs kwako kwa mwanamke?

    Mm hiyo na 1. Nikimuona wa hivyo ndo napagawa kabisa mzuka unapanda
  2. U

    JamiiForums Tanzania KERO Mpimbwe: Watumishi tulioajiriwa JUNI 2022 hatujapandishwa madaraja wala kulipwa Malimbikizo ya Mishahara

    Hata hayo madaraja watu wengi hawajayaona
  3. U

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Uzi wetu pendwa huu
  4. U

    JamiiForums Tanzania Msaidizi wa Lissu apatikana baada ya kudaiwa kutekwa akiwa na pingu mkononi pamoja na majeraha

    jamaa inaoneka hata hivyo anamafunzo ,vinginevyo ingekuwa story
  5. U

    JamiiForums Tanzania Namna ya kujilinda na kuwa salama unapokuwa Bar

    Daaaah hii kiwanja naipenda sana nikienda mwanza lazima nifike hapo,jiran yake ni diamond, huko nyuma yake kuna gest nzuri nzuri
  6. U

    JamiiForums Tanzania Namna ya kujilinda na kuwa salama unapokuwa Bar

    Ni las vegas kona ya bwiru?
  7. U

    JamiiForums Tanzania KERO Mchango wa Lazima wa Mwenge ni kero

    Tsh 5,000 tu! Toa
  8. U

    JamiiForums Tanzania Iran imejichokea kupitiliza

    Mm niko hapa ngongo kwa mrombo, wewe umeshafika Tehran
  9. U

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Uzi pendwa
  10. U

    JamiiForums Tanzania Mikopo ya Mabenki kwa Watumishi

    Yani hi ni hatar hivi serikali hawalioni hilo
  11. U

    JamiiForums Tanzania MIKOPO KWA WATUMISHI WA UMMA

    CS ndo nini? Ndg afisa mkopo
  12. U

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Tukutane 23.2.2026
  13. U

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hatari na yote yansubir mshahara!!!
  14. U

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Waziri Mkuu: Msiwape kazi wakandarasi wa nje, wasitutishe na kiingereza 'Upuuzi Mtupu'

    Yaaan nilipita hapa mrombo soko la kawaida tu,nje ya mji tena ni la watu wa kawaida sio wauzaji wa jumla na mnada wa mbuzi eti amepewa mchina ndo anajenga ,nilishika kichwa kwa mshangao ! Soko tu la kawaida eti mchina
  15. U

    JamiiForums Tanzania Serikali imeishiwa pesa?! Yashindwa kuwalipa Mahakimu pesa za posho kwa wakati

    Walimu hoyeeee,wamepata wenzao
Back
Top Bottom