Ushauri kwenye matumizi ya pesa za mtu...

Ushauri kwenye matumizi ya pesa za mtu...

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
6,628
Reaction score
15,742
IMG_20260718_090930.JPG
 
tukipata matatizo mengine pia muwe mnatoa ushauri ...sio mtu ananunua gari na anaishi kwenye nyumba za national housing unaanza kupiga kerere sijakuomba pesa ya kodi, na pia naweza nisimiliki nyumba lakini nikamiliki vitu vyenye hamani zaidi ya hiyo nyumba
 
tukipata matatizo mengine pia muwe mnatoa ushauri ...sio mtu ananunua gari na anaishi kwenye nyumba za national housing unaanza kupiga kerere sijakuomba pesa ya kodi, na pia naweza nisimiliki nyumba lakini nikamiliki vitu vyenye hamani zaidi ya hiyo nyumba
Umeanza ubishi na majidai?Kwa nini hupendi ushauri na unachagua kwa kushauriwa?
 
tukipata matatizo mengine pia muwe mnatoa ushauri ...sio mtu ananunua gari na anaishi kwenye nyumba za national housing unaanza kupiga kerere sijakuomba pesa ya kodi, na pia naweza nisimiliki nyumba lakini nikamiliki vitu vyenye hamani zaidi ya hiyo nyumba
Umeanza ubishi ma majidai?Kwa nini hupendi ushauri na unachagua kwa kushauriwa?
 
tukipata matatizo mengine pia muwe mnatoa ushauri ...sio mtu ananunua gari na anaishi kwenye nyumba za national housing unaanza kupiga kerere sijakuomba pesa ya kodi, na pia naweza nisimiliki nyumba lakini nikamiliki vitu vyenye hamani zaidi ya hiyo nyumba
hizo akili ziwasaidie kutafuta pesa
 
Back
Top Bottom