Nunua Passo, Agiza kutoka nje achana na kwa mtu.. mafuta inanusa tu kama hauna mizunguko mingi 20k kwa wiki,, pia service inategemean na uendeshaji wako khy USIOGOPE
Mwanamke hawez kuSex kwa Banat mbaya. Labda kam amebakwa. Ko kukubal kumvulia nguo msela ni amempenda mshikaji,, ninachoona Mimi msela aatakua amemtolea nje thus y anarudi kwako. Mimi sizani kam kweli atakua anakupenda,, huenda amekuona weak sana. Ni bora ukamuacha tu ukaruhusu moyo kupenda...
Uraia na haki ndio kupinga uzalendo wa kuchangia Kodi ya nchi yangu ili serikali yangu iweze kunitengenezea barabara nisafirishe mazao yangu kwa uzuri nikauze mijini?
Viongozi wetu wawe wazelendo, walipwe fedha kidogo ili na wengne waajiriwe waongeze nguvu kuijenga nchi,, pia mifumo ya elimu kwanzia chini iboreshwe Wasomi wawe wanauwezo was kujiajiri.. Educating Child to live a better life, not to be employed
Mi nazani katika taiga swala la Elimu linafaa kuwa kipaumbele cha kwanza, pamoja na utafiti wako kuitoa EBM kutapunguza kwa kiasi kikubwa idadi ya wasomi nchini mwetu, idadi ya wanafunz waliokuwa wanajiunga kbla ya ebm na sasa ni tofauti kubwa. Apo utagundua umuhimu wa ebm. Luna namna nyingi...
Habar Wapendwa.. Naomb kuuliza iv taratibu za kukodi shamba zipoje? Nataka nikodi shamba eka mbili mikese sa unaweza jikuta unapewa shamba lenye migogoro, au unatapeliwa.. Na je ikitokea ivo unatakiwa ufanye nin?
Natanguliza shukrani zangu
Warumi 6:23
Mshahara wa dhambi ni Mauti.. Sio kwamba anafaidka ila ivo ndo ilivyo, ni kama docta akwambie usipokunywa mseto utakufa sio kwamba anafaidika ila ivo ndo ilivyo.. Mungu anatupenda sana na hataki tuangamie ndo maan anaandka katka warak wa kwanza wa yohana 2:1 watoto wangu wadogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.