Elimu ya Uraia na Haki inahitajika sana Tanzania!

Nimeanza kuona umuhimu wa watu kusoma na kuelimika. Angalia sisi ndani humu tulivyomakondoo mpaka vyombo vya nje cnn, aljazeera, sky news nk ndo wanatusaidia kudai haki na inaonekana wao neo wameguswa zaidi na uonevu na ni kama wanaandamana invisibly lakini sisi hakuna tunachojua hata tukichinjwa sawa tu.

Kodi ya miamala ya simu pia ilitosha kuwafanya watu waandamane nchi nzima lakini ndugai amebaki anawakejeli kana kwamba anawona watanzania hamnazo kabisa na hamjimbui.

Tanzania tunahitaji sana elimu utamkuta hata graduate haelewi kinachoendelea anaulizia tu na anaamini miujiza kama pascal mayala.
Uraia na haki ndio kupinga uzalendo wa kuchangia Kodi ya nchi yangu ili serikali yangu iweze kunitengenezea barabara nisafirishe mazao yangu kwa uzuri nikauze mijini?
 
Nimeanza kuona umuhimu wa watu kusoma na kuelimika. Angalia sisi ndani humu tulivyomakondoo mpaka vyombo vya nje cnn, aljazeera, sky news nk ndo wanatusaidia kudai haki na inaonekana wao neo wameguswa zaidi na uonevu na ni kama wanaandamana invisibly lakini sisi hakuna tunachojua hata tukichinjwa sawa tu.

Kodi ya miamala ya simu pia ilitosha kuwafanya watu waandamane nchi nzima lakini ndugai amebaki anawakejeli kana kwamba anawona watanzania hamnazo kabisa na hamjimbui.

Tanzania tunahitaji sana elimu utamkuta hata graduate haelewi kinachoendelea anaulizia tu na anaamini miujiza kama pascal mayala.
Mkuu kama mwendazake alikuwa na waganga 900 hapo geita tu,hivi unadhani kuna mwananchi ambaye hajafungwa ?.

InafiInafikirisha sana kwa kweli,nchi inahitaji kwanza maombi ya kuwafungua watanzania tuliofanywa makondoo.

Uchawi upo mkuu.
 
Nimeanza kuona umuhimu wa watu kusoma na kuelimika. Angalia sisi ndani humu tulivyomakondoo mpaka vyombo vya nje cnn, aljazeera, sky news nk ndo wanatusaidia kudai haki na inaonekana wao neo wameguswa zaidi na uonevu na ni kama wanaandamana invisibly lakini sisi hakuna tunachojua hata tukichinjwa sawa tu.

Kodi ya miamala ya simu pia ilitosha kuwafanya watu waandamane nchi nzima lakini ndugai amebaki anawakejeli kana kwamba anawona watanzania hamnazo kabisa na hamjimbui.

Tanzania tunahitaji sana elimu utamkuta hata graduate haelewi kinachoendelea anaulizia tu na anaamini miujiza kama pascal mayala.

SIO TANZANIA NI TANGANYIKA KWANI HAKUNA MUUNGANO , HUU NI UVAMIZI WA TANGANYIKA KWA ZANZIBAR
 
Nchi ya watu maiti hii na ubinafsi

Unakumbuka Lena juzi aliongea kijana akishanunua IST na kuvaa pensi anajiona maisha kayamaliza.

Bila kujua kwamba kumbe mfumo ungeboreshwa zaidi angekuwa na Prado angalau.

Kumbe ndugu zake na jamaa zake wanaumizwa na mifumo ya utawala na yeye wala hana habari

Vijana wa nchi tunawaangusha sana wazee
Maisha ni zaidi ya prado.

Muulize yeye mbona ananunua Peugeot za mwaka 70 wakati uwezo wa kununua prado anao???

Ujinga ni kuamini kuridhika kwa mtu mmoha ni sawa na mwingine.
 
Nimeanza kuona umuhimu wa watu kusoma na kuelimika. Angalia sisi ndani humu tulivyomakondoo mpaka vyombo vya nje cnn, aljazeera, sky news nk ndo wanatusaidia kudai haki na inaonekana wao neo wameguswa zaidi na uonevu na ni kama wanaandamana invisibly lakini sisi hakuna tunachojua hata tukichinjwa sawa tu.

Kodi ya miamala ya simu pia ilitosha kuwafanya watu waandamane nchi nzima lakini ndugai amebaki anawakejeli kana kwamba anawona watanzania hamnazo kabisa na hamjimbui.

Tanzania tunahitaji sana elimu utamkuta hata graduate haelewi kinachoendelea anaulizia tu na anaamini miujiza kama pascal mayala.
Watu wanawezaje kuchagua viongozi km hawajitambui vyama vya siasa , serikali na NGO kazi zake ni nini miaka 60 ya Uhuru, tukisema ccm imeshindwa nani wa kubisha...!

Watu kunyamaza haina maana hawajui, hizi tozo zinamuudhi kila Mtanzania ... hao cnn, bbc na wengine wanakua na msukumo wa kutusemea kwasababu huko wanao Uhuru wa kusemea.. hapa kwetu pa kusema hapako vyombo vyetu vyote vya habari haviko huru ... sheria ya takwimu tu inatuondoa kwenye ukweli km Watanzania kweli hawana hiyo elimu .. unadhni bila HAKI ya kusema na kuandamana km ilivyo kwenye katiba haizingatiwi na vyombo vya dola Mtu anawezaje kusema Watanzania hawana elimu na lakini sio HAKI yao ya msingi kudhulumiwa na mamlaka ndio sababu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom