Natanguliza salamu pia...Habar Wapendwa.. Naomb kuuliza iv taratibu za kukodi shamba zipoje? Nataka nikodi shamba eka mbili mikese sa unaweza jikuta unapewa shamba lenye migogoro, au unatapeliwa.. Na je ikitokea ivo unatakiwa ufanye nin?
Natanguliza shukrani zangu