Kuna picha ntaileta kesho ili muamin ukweli wa wa afriaca kulaaniwa,, imagine mkandalasi anajenga barabarabkiwango Cha lami na baada ya kukabidhi kalatasi nylon zinafumuka katikat ya barabara it means alifukia.
Sina Cha kuongea but boraa huu Uzi ungefutwaa kabisaa unafikirisha na kuumizaa mioyo yetu kibaya zaidi hamna mtu wa kufafanua hili ,,eeh mwenyezi mungu ututangulie .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.