bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,371
- 24,600
MDOGO WAKO:Kaka naomba 600,000/= Kwa ajiri ya ada . Walisema nisipolipa hawatanipokea kabisa.
BABA MWENYE NYUMBA:Missed Calls 83 na Ujumbe: Leo nakupatia Nafasi ya Mwisho
BINTI WA JIRANI: Nafikiri Nina Ujauzito wako.
RAFIKI YAKO: Kaka ,fedha yangu lini unanipa? Ni mwisho wa mwezi Sasa ulioniahidi mara ya Mwisho.
WAZAZI: Tunakufa Kwa Njaa kijana wetu.
Hatuna chochote , Tusaidie .
MCHUMBA: Sawa tu,naona umeanza kunionyesha dharau kabla hata hatujaoana. Endelea tu na Hao Malaya wako. Usinitafute mimi. Pepo wewe!
EX: Ulinitumia tu Mbwa wewe. Utakufa Kifo kibaya sana.
M PESA:Unakumbushwa kulipa Mkopo wako wa SONGESHA kiasi Cha Tsh. 93,200/=
TALA: Tunajua unapoishi , Wewe ni Mdaiwa sugu Sasa na tutakukamata tu.
MSHAHARA :Kiasi Cha Tsh. 187,000 kimewekwa kwenye akaunti Yako inayoishia 3214.
BABA MWENYE NYUMBA:Missed Calls 83 na Ujumbe: Leo nakupatia Nafasi ya Mwisho
BINTI WA JIRANI: Nafikiri Nina Ujauzito wako.
RAFIKI YAKO: Kaka ,fedha yangu lini unanipa? Ni mwisho wa mwezi Sasa ulioniahidi mara ya Mwisho.
WAZAZI: Tunakufa Kwa Njaa kijana wetu.
Hatuna chochote , Tusaidie .
MCHUMBA: Sawa tu,naona umeanza kunionyesha dharau kabla hata hatujaoana. Endelea tu na Hao Malaya wako. Usinitafute mimi. Pepo wewe!
EX: Ulinitumia tu Mbwa wewe. Utakufa Kifo kibaya sana.
M PESA:Unakumbushwa kulipa Mkopo wako wa SONGESHA kiasi Cha Tsh. 93,200/=
TALA: Tunajua unapoishi , Wewe ni Mdaiwa sugu Sasa na tutakukamata tu.
MSHAHARA :Kiasi Cha Tsh. 187,000 kimewekwa kwenye akaunti Yako inayoishia 3214.