Biblia nayoo imekataa kabisaKwani kwenye ukristo kuna sehem imeanisha kiongozi mwanamke?
Au utamzungumzia Esther
Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Huo ni utamaduni wa zama za giza.Short tu isiwe ndefu
Ikitokea mwanamke wa kiislamu atatakiwa awaswalishe waaislamu wenzake basi atawaswalisha wanawake wenzake tu na hata hao waislamu wenzake atasimama nao mstari nao mmoja hato simama mbele yao kama anavyokuwa imamu mwanaume
Muislam inakataza mwanamke kusimama kwenye membari Kwa wakristo naweza kusema madhabahuni, kutokana na udhuru za mwanamke siku zake navyenginevyo, kama mwanamke atakuwa na elimu na atatakiwa awe mwalimu kwa wengine wakiwepo wanaume kuna utaratibu maalum wa mwanamke kutoa elimu hiyo pasipo na muingiliano mkubwa au mwingi na mwanaume
Hata kuna vifungu kwenye biblia inakemea mwanamke kusimama madhabauni hapo wapo Sawa kidogo na waislam
Dini ya kiislam inapompa mipaka mwanamke kutokuwa kiongozi tena kiongozi ambaye wa kuwaongoza na wanaume haimtengi mwanamke ila inampa haki zake na inamlinda na vingi
Na kwenye maamuzi mwanamke ni tofauti sana na mwanaume Hilo nalo linaweza kuwa sababu, ujasiri pia
Ilitakiwa awe kiongozi mkuu pia awe na mwanaume ambaye atawakilisha maamuzi ambayo huyo kiongozi mkuu mwanamke atakayoyaamua huyo mwanaume ndio aje kuyawakilisha mbele ya umma
Dunia masiku hayaa imekengeuka sanaa kila mtu amepagawa hakuna wa kumsikiliza mwenzake wapo wakiume wanaodai haki ambazo wanadai ni haki zao kuwa gays-mashoga pia wapo wakike wanaodai haki kuwa wasagaji so duniani imevurungwa ipo ovyo ovyo ndio maana wanawake wapo madhabauni na hawaofii chochote
Na wanawake ni viongozi na imekatazwa kwenye misingi ya dini zao na hawajali chochote na hawafati maelekezo ya misingi ya miongozo ya dini zao ndio maana leo kesho mambo yanawaharibikia
Kwi kwi kwi🤣🤣🤣🤣Na ndio maana Hangaya anajitutumua mpaka anaharibu ili kuwaaminisha kwamba nao wanaweza.
Tuletee dini zako tuzifuate boss!Hizi dini za middle east,zimetuharibia dunia,ni upuuzi mtupu.
Hongera! Umepata visa ya kuishi Afghanistan, wewe na familia yako.Short tu isiwe ndefu
Ikitokea mwanamke wa kiislamu atatakiwa awaswalishe waaislamu wenzake basi atawaswalisha wanawake wenzake tu na hata hao waislamu wenzake atasimama nao mstari nao mmoja hato simama mbele yao kama anavyokuwa imamu mwanaume
Muislam inakataza mwanamke kusimama kwenye membari Kwa wakristo naweza kusema madhabahuni, kutokana na udhuru za mwanamke siku zake navyenginevyo, kama mwanamke atakuwa na elimu na atatakiwa awe mwalimu kwa wengine wakiwepo wanaume kuna utaratibu maalum wa mwanamke kutoa elimu hiyo pasipo na muingiliano mkubwa au mwingi na mwanaume
Hata kuna vifungu kwenye biblia inakemea mwanamke kusimama madhabauni hapo wapo Sawa kidogo na waislam
Dini ya kiislam inapompa mipaka mwanamke kutokuwa kiongozi tena kiongozi ambaye wa kuwaongoza na wanaume haimtengi mwanamke ila inampa haki zake na inamlinda na vingi
Na kwenye maamuzi mwanamke ni tofauti sana na mwanaume Hilo nalo linaweza kuwa sababu, ujasiri pia
Ilitakiwa awe kiongozi mkuu pia awe na mwanaume ambaye atawakilisha maamuzi ambayo huyo kiongozi mkuu mwanamke atakayoyaamua huyo mwanaume ndio aje kuyawakilisha mbele ya umma
Dunia masiku hayaa imekengeuka sanaa kila mtu amepagawa hakuna wa kumsikiliza mwenzake wapo wakiume wanaodai haki ambazo wanadai ni haki zao kuwa gays-mashoga pia wapo wakike wanaodai haki kuwa wasagaji so duniani imevurungwa ipo ovyo ovyo ndio maana wanawake wapo madhabauni na hawaofii chochote
Na wanawake ni viongozi na imekatazwa kwenye misingi ya dini zao na hawajali chochote na hawafati maelekezo ya misingi ya miongozo ya dini zao ndio maana leo kesho mambo yanawaharibikia
Huyo ni aina ya watu walioshindwa kujicontrol wale wazinifu ,walevi so ukimueleza dini anaona kama hatowezi kufuata.Tuletee dini zako tuzifuate boss!
Huna tofauti na mila na desturi ambazo hadi zinakeketa!
Anyway! Sisi watu Wa dini tunafuata mia pia ila mila bora kabisaa za Ibrahim (as)