wakati wa kuhutubia mahakama na kutoa hela nyingi kuboresha mahakama, magufuli alimtaka othman chande atumbue mahakimu wala rushwa na wasio na maadili. suala hili halijafanya kazi katika mahakama, hasa mahakimu mkazi na wilaya. pale mbeya kuna hakimu mmoja anaitwa MTEITE, ni hakimu mkuu wa mkoa...
nikikuangalia wewe na kukumbuka kuwa babako ndiye aliyetufikishahapa, kuwaacha watz wana hofu na wanaiona ccm kama muungu mtu, NAPATA HASIRA SANA NA SIPENDI HATA KUKUONA.babako kitu pekee alichokifanya ni kuunganisha taifa kuondoa ukabila na kufanya kiswahili kituunganishe, zaidi ya hayo...
Fununi zinasema, baada ya wafuasi wa mamvi kushindwa kumpa kura amina ili kulipiza kisasi usiku wa leo, wameapa kuhamasisha kura kwa ukawa mikoa ya mamvi yote, yaani arusha yote ni ukawa, kilimanjaro yote ni ukawa, manyara yote ni ukawa. ngoma bado mbichi kabisa na mpira hata half time haujafika.
Ndugu Lowassa, usihangaike na maccm, hama chama, tangaza nia, unachukua nchi mara moja. nakushauri chukua chama kimojawapo na hivi hapa chini.
PPT-MAENDELEO
SAU
CHAUMMA
UDP
TLP
TADEA
NRA
UPDPK
DEMOKRASIA MAKINI
NLD
Nakushauri, usiende ACT, ni chama cha zitto kabwe ambaye ni CCM...
Habari ya mwisho ya Marehemu Edson Kamukara
Karamagi, Hamad Rashid matatani
*Wadaiwa kujimilikisha kampuni walimokaribishwa
Na Edson Kamukara
KAMPUNI mpya ya simu za mkononi, inayolenga kutumia teknolojia ya kisasa zaidi kuliko makampuni yaliyopo nchini hivi sasa, imemeguka kabla ya kuanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.