Tundu Lissu kumrithi Dr. Slaa

Tundu Lissu kumrithi Dr. Slaa

Ina maana ndani ya CHADEMA mzee mtei ana uwezo wa ku hire na kum fire Katibu Mkuu wa Chama na wala suala hilo siyo proregative ya wanachama ama kupitia kwa wawakilishi wao ndani ya CC au NEC ama mkutano mkuu. Kweli Zhama kina wenyewe
 
Lizaboni ni sehwmu ya kitengo cha propaganda gazeti la ccm uhuru sitasoma tena taarifa zako kuazia leo nikiona tu jina lako skip
 
Linajaa maji hili we fuatilia ya chadema&ukawa tu!
 

Attachments

  • 1438411690327.jpg
    1438411690327.jpg
    26.6 KB · Views: 294
And there shall be a time of trouble,such as never was since there was a nation.
 
naheshim sana mchango wa dr slaa ktk chama na ntaendelea kuwa mtiifu kwake bt napingana na maamuz yake juu la swala la lowassa mm naamini kinachotusumbua ni mfumo mzima wa ccm ndo unatoa room ya watu kufanya wizi lowassa he was out of game for 8 yrs bt ufsad uliendelea leo mpaka wakurugenz ambao ni watendaj wa serikal pia ni majiz makubwa je huu c mfumo? dr slaa anapaswa kujua watanzania kuna ndugu zetu wamekufa kwa ajil ya chadema sio yeye 2 ndo anauchungu na chama pekee hv wakat wazee wa pwani walimkaribisha nyerere kwenye TANU na wakampa madaraka c kwamba yy ndo alikuwa msomi sana no alikuwa na diploma 2 ya sanaa na kulikuwa na wasomi kuliko yy na matajil kuliko yy bt walimuona anatosha kama vyama 4 vlivyo muona lowassa anatosha kutuletea uhuru kutoka kwa mkoroni mweuc ccm then mengne yatafata dr mbona 2nakarbia kufika pwan ww unatoboa boti tena?
 
Lizaboni pole mkuu. ni kama umechanganyikiwa flan hivi eee?
 
Last edited by a moderator:
Magamba wanaipa promo CHADEMA wanasahau kumnadi mgombea wao Makufuli.
 
Ila Lizaboni umeteseka sana kipindi hiki sijui kama hata chakula unapata nafikiri ukilala bila kuitaja chadema utakufa. Pole sana kaa dawa ikuingie ulikuwa unamponda slaa leo unajidai unampenda eti uchonganishe watu mchezo wa kitoto. CCM kufikiri kwenu kumefika mwisho
 
Last edited by a moderator:
Mkuu lisu anashida kichwani ataweza kumudu uongozi siyo kwamba anaweza kuwalipukia?
 
Lizaboni bhana, kila uzi na kila utabiri anaokuja kutuaminisha hapa huwa unafeli.

Huyu mtu hana chembe ya aibu.
 
Dr.Slaa katuangusha sana kwa kujifanya haoni manufaa ya kumpokea Lowassa.
Wakati mwingine inabidi mtu auche personal ambitiona kwa manufaa ya wengi, sidhani kama ni kweli Slaa amefikiria mbali zaidi ya maslahi yake binafsi ya kuteuliwa kugombea urais kwa tuketi ya UKAWA, kama si hivyo inhekuwa vyepesi kucomprpmise. Lisemwalo lipo kama halipo linakuja, tunampa heshima yetu Dk Slaa maana mchango wake si mdoho katika harakati hizi ila kuvunjika kwa koleo siyo mwisho wa uhunzi, ALUTA CONTINUA
 
Back
Top Bottom